King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,585
Komoni mpaka bujeeeeee!!! kakaiiiii yes kakaiiiii.
Pisi kali zinakunywa mbege nasikia inaongeza maziwa kwa mtoto!! Kitaani naona wamama wanapitisha kwenye ndoo wanauza kwenye machupa ya lita moja.
Pisi kali zinakunywa mbege nasikia inaongeza maziwa kwa mtoto!! Kitaani naona wamama wanapitisha kwenye ndoo wanauza kwenye machupa ya lita moja.