Mkyamise
JF-Expert Member
- Apr 14, 2014
- 454
- 555
Ni wivu tu. Wengine ndio wanaokunywa taptapu. Mbege haipo kwenye kundi hilo. Mbege haifananishwi na mambo ya kijinga bwana.Nyumbani tunapika, kwa bibi wanapika,wajomba wanapika,jirani wanapika, kila mahali
Halafu unaongea utupolo wa kuniuliza mazingira yake unauliza pilipili kwa wahindi?