Mbayuwayu Ameona-1: Kuelekea Uchaguzi Wa S/Mitaa

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
p_bird.gif


Tuliaminishwa kuwa Rais Magufuli amepiga Marufuku Mikutano ya Kisiasa
Ikumbukwe kwamba Rais alisema Wanasiasa wafanye Mikutano kwenye Maeneo yao ya Uchaguzi (Wabunge kwenye Majimbo yao na Madiwan kwenye Kata zao).
Ndege Mbayuwayu mwenye uwezo wa kuruka angani kwa mwendo wa Zaidi ya Kilomita 160 kwa saa ameruka na amerudi na ukweli. Tangu Serikali ya awamu ya tano iingie Madarakani , Wapinzani walikosa hoja za kwenda nazo kwa Wananchi , wakaamua kujipa likizo kwa kisingizio cha kwamba Mikutano Imezuiliwa. Mbayuwayu amejiridhisha , kwa sababu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unafanyika Mwaka huu wa 2019, Wanasiasa wanalazimika kurudi kwa Wananchi.
Alichoshangaa Mbayuwayu ni mazoea yale yale ya wanasiasa kudhani kwamba Wananchi watawaelewa kwa mtindo ule ile wa kutumia lugha za matusi, kdhihakiana na vurugu. Matokeo ya mazoea hayo ameonekana katika Majimbo ya Kawe, Mbeya Mjini, Morogoro.
Mbayuwayu anasemaje? kwanza anawapongeza Wanasiasa kuamua kurudi ulingoni ili ile dhana kwamba wamezuiliwa iondoke. Lakini kubwa na la muhimu anawashauri waachane na Siasa za zamani kwa sababu zama hizi siyo kuoneana huruma, Wananchi wameonja utamu wa Maendeleo na wangependa kusikia Sera zenye kuleta Maendeleo.
Mbayuwayu anawatakia Jumanne njema.
 
Mwanasiasa ni kama mtotto mdogo, anazira na kuchukua, ila mzazi ukiwa na msimamo, mwenyewe anaufyata.
 
View attachment 1032218

Tuliaminishwa kuwa Rais Magufuli amepiga Marufuku Mikutano ya Kisiasa
Ikumbukwe kwamba Rais alisema Wanasiasa wafanye Mikutano kwenye Maeneo yao ya Uchaguzi (Wabunge kwenye Majimbo yao na Madiwan kwenye Kata zao).
Ndege Mbayuwayu mwenye uwezo wa kuruka angani kwa mwendo wa Zaidi ya Kilomita 160 kwa saa ameruka na amerudi na ukweli. Tangu Serikali ya awamu ya tano iingie Madarakani , Wapinzani walikosa hoja za kwenda nazo kwa Wananchi , wakaamua kujipa likizo kwa kisingizio cha kwamba Mikutano Imezuiliwa. Mbayuwayu amejiridhisha , kwa sababu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unafanyika Mwaka huu wa 2019, Wanasiasa wanalazimika kurudi kwa Wananchi.
Alichoshangaa Mbayuwayu ni mazoea yale yale ya wanasiasa kudhani kwamba Wananchi watawaelewa kwa mtindo ule ile wa kutumia lugha za matusi, kdhihakiana na vurugu. Matokeo ya mazoea hayo ameonekana katika Majimbo ya Kawe, Mbeya Mjini, Morogoro.
Mbayuwayu anasemaje? kwanza anawapongeza Wanasiasa kuamua kurudi ulingoni ili ile dhana kwamba wamezuiliwa iondoke. Lakini kubwa na la muhimu anawashauri waachane na Siasa za zamani kwa sababu zama hizi siyo kuoneana huruma, Wananchi wameonja utamu wa Maendeleo na wangependa kusikia Sera zenye kuleta Maendeleo.
Mbayuwayu anawatakia Jumanne njema.
Mbayuwayu wa kichawi huyu na sio bure....
Na bahati nzuri katukuta tuko macho.....sijui atarudi kujipanga tena....!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante Mbayuwayu kwa kutufahamisha, kumbe wameibuliwa na Uchaguzi wa S/Mitaa? Mbona naona kama wamechelewa sana?
 
Wameshajua kuwa unawanga wao hawaji na hoja sasa wanamlenga huyo mbayu wayu kwa matusi!
 
View attachment 1032218

Tuliaminishwa kuwa Rais Magufuli amepiga Marufuku Mikutano ya Kisiasa
Ikumbukwe kwamba Rais alisema Wanasiasa wafanye Mikutano kwenye Maeneo yao ya Uchaguzi (Wabunge kwenye Majimbo yao na Madiwan kwenye Kata zao).
Ndege Mbayuwayu mwenye uwezo wa kuruka angani kwa mwendo wa Zaidi ya Kilomita 160 kwa saa ameruka na amerudi na ukweli. Tangu Serikali ya awamu ya tano iingie Madarakani , Wapinzani walikosa hoja za kwenda nazo kwa Wananchi , wakaamua kujipa likizo kwa kisingizio cha kwamba Mikutano Imezuiliwa. Mbayuwayu amejiridhisha , kwa sababu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unafanyika Mwaka huu wa 2019, Wanasiasa wanalazimika kurudi kwa Wananchi.
Alichoshangaa Mbayuwayu ni mazoea yale yale ya wanasiasa kudhani kwamba Wananchi watawaelewa kwa mtindo ule ile wa kutumia lugha za matusi, kdhihakiana na vurugu. Matokeo ya mazoea hayo ameonekana katika Majimbo ya Kawe, Mbeya Mjini, Morogoro.
Mbayuwayu anasemaje? kwanza anawapongeza Wanasiasa kuamua kurudi ulingoni ili ile dhana kwamba wamezuiliwa iondoke. Lakini kubwa na la muhimu anawashauri waachane na Siasa za zamani kwa sababu zama hizi siyo kuoneana huruma, Wananchi wameonja utamu wa Maendeleo na wangependa kusikia Sera zenye kuleta Maendeleo.
Mbayuwayu anawatakia Jumanne njema.
Kweli sasa propaganda zimewaishia! NGULI WA JF KUJA KUMWAGA MKOJO HUU HUMU!!!! Vipi kisuka kimeanza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mleta hoja mpuuzi bhuaana. Nchini inazama kwenye lindi la umasikini unatuamkia kuwa kuna maendeleo !!!. Yapi hayo yanayogusa maisha yetu ?!. Mimi si Mungu lakini lazima mmalize kwa aibu kubwa ya kuiacha nchi ikiwa fukara ya kutupwa.

Leo dola ni 2,480/=. Na korosho tumerudishiwa. Haya ndiyo yanayogusa maisha yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Shilingi iliyoporomoka umejiridhisha na nchi zingine hali ikoje?
 
View attachment 1032218

Tuliaminishwa kuwa Rais Magufuli amepiga Marufuku Mikutano ya Kisiasa
Ikumbukwe kwamba Rais alisema Wanasiasa wafanye Mikutano kwenye Maeneo yao ya Uchaguzi (Wabunge kwenye Majimbo yao na Madiwan kwenye Kata zao).
Ndege Mbayuwayu mwenye uwezo wa kuruka angani kwa mwendo wa Zaidi ya Kilomita 160 kwa saa ameruka na amerudi na ukweli. Tangu Serikali ya awamu ya tano iingie Madarakani , Wapinzani walikosa hoja za kwenda nazo kwa Wananchi , wakaamua kujipa likizo kwa kisingizio cha kwamba Mikutano Imezuiliwa. Mbayuwayu amejiridhisha , kwa sababu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unafanyika Mwaka huu wa 2019, Wanasiasa wanalazimika kurudi kwa Wananchi.
Alichoshangaa Mbayuwayu ni mazoea yale yale ya wanasiasa kudhani kwamba Wananchi watawaelewa kwa mtindo ule ile wa kutumia lugha za matusi, kdhihakiana na vurugu. Matokeo ya mazoea hayo ameonekana katika Majimbo ya Kawe, Mbeya Mjini, Morogoro.
Mbayuwayu anasemaje? kwanza anawapongeza Wanasiasa kuamua kurudi ulingoni ili ile dhana kwamba wamezuiliwa iondoke. Lakini kubwa na la muhimu anawashauri waachane na Siasa za zamani kwa sababu zama hizi siyo kuoneana huruma, Wananchi wameonja utamu wa Maendeleo na wangependa kusikia Sera zenye kuleta Maendeleo.
Mbayuwayu anawatakia Jumanne njema.
Ushanichafulia siku yangu. Kwa nini mnapenda kuwa wanafiki kwa kiasi hiki?

Kazi ya mwanasiasa ni nini haswa kama ai kufanya siasa? Hivi mwanasiasa asiye na jimbo au kata akafanyie wapi siasa?

Mtu kama Lowassa kwa mfano yeye afanyie wapi siasa? Hana jimbo, hana kata. Akafanyie siasa kwa wazazi wako kenge wewe!
Eti mbayuayi kaona. Warumu wakuwaye?





Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1032218

Tuliaminishwa kuwa Rais Magufuli amepiga Marufuku Mikutano ya Kisiasa
Ikumbukwe kwamba Rais alisema Wanasiasa wafanye Mikutano kwenye Maeneo yao ya Uchaguzi (Wabunge kwenye Majimbo yao na Madiwan kwenye Kata zao).
Ndege Mbayuwayu mwenye uwezo wa kuruka angani kwa mwendo wa Zaidi ya Kilomita 160 kwa saa ameruka na amerudi na ukweli. Tangu Serikali ya awamu ya tano iingie Madarakani , Wapinzani walikosa hoja za kwenda nazo kwa Wananchi , wakaamua kujipa likizo kwa kisingizio cha kwamba Mikutano Imezuiliwa. Mbayuwayu amejiridhisha , kwa sababu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unafanyika Mwaka huu wa 2019, Wanasiasa wanalazimika kurudi kwa Wananchi.
Alichoshangaa Mbayuwayu ni mazoea yale yale ya wanasiasa kudhani kwamba Wananchi watawaelewa kwa mtindo ule ile wa kutumia lugha za matusi, kdhihakiana na vurugu. Matokeo ya mazoea hayo ameonekana katika Majimbo ya Kawe, Mbeya Mjini, Morogoro.
Mbayuwayu anasemaje? kwanza anawapongeza Wanasiasa kuamua kurudi ulingoni ili ile dhana kwamba wamezuiliwa iondoke. Lakini kubwa na la muhimu anawashauri waachane na Siasa za zamani kwa sababu zama hizi siyo kuoneana huruma, Wananchi wameonja utamu wa Maendeleo na wangependa kusikia Sera zenye kuleta Maendeleo.
Mbayuwayu anawatakia Jumanne njema.
Polisi kukamata wapinzani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom