Mbaya wangu ni huyu

sospeter

Member
Apr 13, 2009
6
2
Imefika muda nimemgundua jamaa anayenimegea mpenzi au mwenzi wangu na nimepata uthibitisho, na nikimwambia mpenzi wangu anakataa , je wadau ni muafaka nimwambie amwache mpenzi wangu au nimwendee kwa sangoma wamfanyizie au wamshushe busha au vipi wana JF wazoefu
 
Kwa Sangoma sana sana utadanganywa tuu. Fanya yafuatayo;
  1. Umeshamwambia mkeo akakataa, mwambie mwanaume husika vile vile - Wote wajue kama unajua
  2. Ikiwa wataendelea wakati wanajua unajua - Tafuta ushahidi wa uhakika umwache mkeo hafai
  3. Ikiwa baada ya kujua umeshtukia huyo mwanaume ukaona wameacha - ila mkeo bado anasisitiza si kweli kuna uhakika watarudia tena (ukisafiri, etc), Keep your eyes open.
  4. Ikiwa baada ya kumkoromea huyo mwanaume mkeo amekiri na kuahidi kutorudia, alikuwa na nia ya kuendelea ndo maana alikataa mwanzoni - Keep an eye on her, she will do it again, with him or another one. Ameacha kwa sababu pengine alimdanganya huyo mwanaume kuwa hana mme, mwanaume yule kamkimbia baada ya kujua mke wa mtu.
  5. Chunga sana wanawake wengi (including my wife) - Katika mazingira fulani hujitambulisha ma Ms hasa makazini kwao. Ila akiwa mazingira fulan ambayo anajua utaona ID yake anatumia Mrs. Hivyo inawezekana mwanaume alidanganywa tu na mkeo kuwa hajaolewa. Akijua kuwa anatembea na mke wa mtu atamkacha - Ndo maana inabidi uhakikishe na huyo mwanaume anajua kuwa unajua
  6. Sasa umejua mkeo anacheat. Unaishi na ukweli huo huku wewe ukiwamegea wanyonge wengine au unaquit?? Hilo ni juu yako!!
 
Wanawake wamekwisha hata umfanyie hayo mwanaume mwenzio kama ni kweli mwenye makosa ni huyo wifi kwa nini akubali kumegwa wakati anajua wewe kaka upo?
 
Mzee mi nakushauri unitafute umzibe mkeo jamaa akipanda anakuta pamezibwa au tuwagandishe kabisa....lakini wakigandana ishu itakuwa kubwa mpaka mtaani watu watajua jamaa jamaa kaganda na mkeo alafu itakushushia heshima...
Kama vp mpige juju huyo mmbaya wako....weka software kwa mkeo iwe ina detect yako tu.
 
Shingo

Point namba tano nakubaliana nawe sana, niliisha wahi jirusha na dada mmoja, kwa miaka kadhaaa....almost nipropose, kumbe alikuwa ni mke wa mtu...siku moja kwenye gari lake nikaona kitambulisho cha man, nikawa mkali nani huyu akanambia ni mumewe huwa anatumia gari lake pia....nilifreeze for the past three yrs nimemkula mke wa mtu bila kujua loooh wanawake balaa....na alikuwa anakuja kwangu naenda naye viwanja ila alikuwa hataki Dar eti wapembe wengi, Zanzibar, Moro, Arusha etc...nikammuuliza sasa inakuwaje? Akasema yuko tayari kumwacha mumewe....jamani...nilichokifanya nilimwambia stick with your hubby, nikajikata....wadada wakati mwingine nikuwa makini!!
 
Kwa Sangoma sana sana utadanganywa tuu. Fanya yafuatayo;
  1. Umeshamwambia mkeo akakataa, mwambie mwanaume husika vile vile - Wote wajue kama unajua
  2. Ikiwa wataendelea wakati wanajua unajua - Tafuta ushahidi wa uhakika umwache mkeo hafai
  3. Ikiwa baada ya kujua umeshtukia huyo mwanaume ukaona wameacha - ila mkeo bado anasisitiza si kweli kuna uhakika watarudia tena (ukisafiri, etc), Keep your eyes open.
  4. Ikiwa baada ya kumkoromea huyo mwanaume mkeo amekiri na kuahidi kutorudia, alikuwa na nia ya kuendelea ndo maana alikataa mwanzoni - Keep an eye on her, she will do it again, with him or another one. Ameacha kwa sababu pengine alimdanganya huyo mwanaume kuwa hana mme, mwanaume yule kamkimbia baada ya kujua mke wa mtu.
  5. Chunga sana wanawake wengi (including my wife) - Katika mazingira fulani hujitambulisha ma Ms hasa makazini kwao. Ila akiwa mazingira fulan ambayo anajua utaona ID yake anatumia Mrs. Hivyo inawezekana mwanaume alidanganywa tu na mkeo kuwa hajaolewa. Akijua kuwa anatembea na mke wa mtu atamkacha - Ndo maana inabidi uhakikishe na huyo mwanaume anajua kuwa unajua
  6. Sasa umejua mkeo anacheat. Unaishi na ukweli huo huku wewe ukiwamegea wanyonge wengine au unaquit?? Hilo ni juu yako!!


Shingo huyu bwana hajasema kama huyo ni mkewe au ni mimi ninayemiss kitu hapo. Kama ni mke I concur with your ushauri

Je kuna ubaya mtu akitumia Ms badala ya Mrs? kwani nijuavyo mie hizo titles has nothing to do with signaling for availability (cheating) ni hulka ya mtu tu . Anaweza akawa anatumia Mrs na bado akacheat.
Umesema including your wife je mkeo unaona kama anazo dalili za kuwa anamegwa na mtu kwa vile anatumia Ms?
 
Mzee mi nakushauri unitafute umzibe mkeo jamaa akipanda anakuta pamezibwa au tuwagandishe kabisa....lakini wakigandana ishu itakuwa kubwa mpaka mtaani watu watajua jamaa jamaa kaganda na mkeo alafu itakushushia heshima...
Kama vp mpige juju huyo mmbaya wako....weka software kwa mkeo iwe ina detect yako tu.

Hicho kinachoitwa juju la hivyo kingekuwepo, haya mambo yasingekuwepo! juju ni uongo na kama ukitaka sasa kuprove kuwa juju ni uongo jaribu hayo uloshauriwa. Mkeo ataendelea kumegwa huku wewe ukiamini wakikutana ya mwanaume huwa haisimami. Ikikataa imekataa sababu tu imechoka, na hata ndimi watazitumia kuridhishana. Upo hapo?

Hayo ya kufungwa ni uwongo ulio wazi. Labda wewe ubadili mtazamo wako na uone kuwa hilo ni kawaida na linatokea kila siku (tunawaona wakimegwa kila kukicha maofisini - anakwambia yuko kazini kumbe yuko hotelini kariakoo kazini yuko off).
 
Shingo

Point namba tano nakubaliana nawe sana, niliisha wahi jirusha na dada mmoja, kwa miaka kadhaaa....almost nipropose, kumbe alikuwa ni mke wa mtu...siku moja kwenye gari lake nikaona kitambulisho cha man, nikawa mkali nani huyu akanambia ni mumewe huwa anatumia gari lake pia....nilifreeze for the past three yrs nimemkula mke wa mtu bila kujua loooh wanawake balaa....na alikuwa anakuja kwangu naenda naye viwanja ila alikuwa hataki Dar eti wapembe wengi, Zanzibar, Moro, Arusha etc...nikammuuliza sasa inakuwaje? Akasema yuko tayari kumwacha mumewe....jamani...nilichokifanya nilimwambia stick with your hubby, nikajikata....wadada wakati mwingine nikuwa makini!!

Mkuu ndo maana mi nasita kuoa kabisaaaaaaa ngoja niendelee kusubuli duh si mchezo usikute mlikuwa mnapangwa na huyo mwanamke mzee inauma sana.
 
Shingo huyu bwana hajasema kama huyo ni mkewe au ni mimi ninayemiss kitu hapo. Kama ni mke I concur with your ushauri

Je kuna ubaya mtu akitumia Ms badala ya Mrs? kwani nijuavyo mie hizo titles has nothing to do with signaling for availability (cheating) ni hulka ya mtu tu . Anaweza akawa anatumia Mrs na bado akacheat.
Umesema including your wife je mkeo unaona kama anazo dalili za kuwa anamegwa na mtu kwa vile anatumia Ms?

Hizo title huwa zinaashiria availability - Ndiyo. Kuna watu wanaona kinyaa wakijua mke wa mtu. Kwa nini asiwe consistent? Kuna maana. hayo nimeshayaona sana. Kuhusu wakwangu kuwa ana-megwa au la, naomba tujadili mada ya huyu. Ila nilichoona kuhusu matumizi ya hizo titles kinanifanya niamini kuwa zinatumiwa kutoa ishara fulani kwa watu fulani. Haiwezekani akiwa arusini pamoja na wewe anajitambulisha Mrs. Fulani wakati akienda Club bila wewe kuwa naye akajitambulisha Ms Fulani. Kuna maana ipo hapo!!
 
Hizo title huwa zinaashiria availability - Ndiyo. Kuna watu wanaona kinyaa wakijua mke wa mtu. Kwa nini asiwe consistent? Kuna maana. hayo nimeshayaona sana. Kuhusu wakwangu kuwa ana-megwa au la, naomba tujadili mada ya huyu. Ila nilichoona kuhusu matumizi ya hizo titles kinanifanya niamini kuwa zinatumiwa kutoa ishara fulani kwa watu fulani. Haiwezekani akiwa arusini pamoja na wewe anajitambulisha Mrs. Fulani wakati akienda Club bila wewe kuwa naye akajitambulisha Ms Fulani. Kuna maana ipo hapo!!

. Aksante mkuu nisamehe kama nilikuwa naingia kwako personally. Am sorry.

But tukirudi katika Mada nakubaliana nawe kabisa kwa nini asiwe consistent meanin kama anatumia Ms then she should stick to that. Aksante kwa ufafanuzi Mkuu
 
...nikammuuliza sasa inakuwaje? Akasema yuko tayari kumwacha mumewe....jamani...nilichokifanya nilimwambia stick with your hubby, nikajikata....wadada wakati mwingine nikuwa makini!!

...Mnh, Tigo hiyo!

Hizo title huwa zinaashiria availability - Ndiyo. Kuna watu wanaona kinyaa wakijua mke wa mtu. Kwa nini asiwe consistent?...

...na kuna wengi wanaoona sifa kula mke wa mtu!

Imefika muda nimemgundua jamaa anayenimegea mpenzi au mwenzi wangu na nimepata uthibitisho, na nikimwambia mpenzi wangu anakataa , je wadau ni muafaka nimwambie amwache mpenzi wangu au nimwendee kwa sangoma wamfanyizie au wamshushe busha au vipi wana JF wazoefu

...kama hakubali kosa, hataki kujutia wala hataacha. Mchumba tu anakufanyia hivyo, akiwa mkeo atamleta chumbani!, Achana nae!
 
Shingo

.nilifreeze for the past three yrs nimemkula mke wa mtu bila kujua loooh wanawake balaa....na alikuwa anakuja kwangu naenda naye viwanja ila alikuwa hataki Dar eti wapembe wengi, Zanzibar, Moro, Arusha etc...!!


3 years usijue!? Hii kali ya mwaka.Basi wote wewe na yeye ni wasanii...utakuwaje na mwanamke miaka 3 usihisi kuwa ana mwenyewe? alikuwa anakuja kwako akitokea wapi? Ilikuwaje hadi kidogo u propose ilhali you knew practically nothing about her?
 
3 years usijue!? Hii kali ya mwaka.Basi wote wewe na yeye ni wasanii...utakuwaje na mwanamke miaka 3 usihisi kuwa ana mwenyewe? alikuwa anakuja kwako akitokea wapi? Ilikuwaje hadi kidogo u propose ilhali you knew practically nothing about her?

1. Nilikuwa nikimuhitaji alikuwa akipatikana, nature ya kazi nlo kuwa nikifanya bongo ilihusisha kusafiri sana

2. Alikuwa anatokea kwao, akidai anaishi na wazazi

3. mapenzi yalipozidi nikaona kwanini nisichukue huu mzigo jumla, she was everything you know what I mean eeehh

4. Nadhani siku hizi mkikubaliana na mwenza ndo vitu vingine hufuata ie kutambulisha kwa ndugu etc etc na wazazi
 
Imefika muda nimemgundua jamaa anayenimegea mpenzi au mwenzi wangu na nimepata uthibitisho, na nikimwambia mpenzi wangu anakataa , je wadau ni muafaka nimwambie amwache mpenzi wangu au nimwendee kwa sangoma wamfanyizie au wamshushe busha au vipi wana JF wazoefu

M dump huyo mpenzi wako. Ni mpenzi wako anayekudharau na kukufanyia hivyo. Hiyo njemba bila idhini ya mpenzi wako haiwezi kumega. Mpenzi wako ndiye mwenye uamuzi wa mwisho: amegwe au asimegwe!!
 
3 years usijue!? Hii kali ya mwaka.Basi wote wewe na yeye ni wasanii...utakuwaje na mwanamke miaka 3 usihisi kuwa ana mwenyewe? alikuwa anakuja kwako akitokea wapi? Ilikuwaje hadi kidogo u propose ilhali you knew practically nothing about her?
tehe tehe huyo shem wangu alikuwa anajua sana sema ndio vile mke wa mtu alikuwa anamlongesha ki extreem.....
 
Imefika muda nimemgundua jamaa anayenimegea mpenzi au mwenzi wangu na nimepata uthibitisho, na nikimwambia mpenzi wangu anakataa , je wadau ni muafaka nimwambie amwache mpenzi wangu au nimwendee kwa sangoma wamfanyizie au wamshushe busha au vipi wana JF wazoefu
mkuu wewe umepewa dawa nini na demu wako?

mpige chini fasta hio sio lazima upate ushauri wa JF.....anamegwa kitambo wewe unataka nini hapo anza mbele.....
hata wakimfanyizia demu wako keshamegwa na ataendelea kumegwa.....hizo hela za kumpa mganga changia JF
 
.... Ni mpenzi wako anayekudharau na kukufanyia hivyo. Hiyo njemba bila idhini ya mpenzi wako haiwezi kumega. Mpenzi wako ndiye mwenye uamuzi wa mwisho: amegwe au asimegwe!!

...Dah, maneno mazito haya, yanauma lakini ndio ukweli wenyewe!!!
 
Imefika muda nimemgundua jamaa anayenimegea mpenzi au mwenzi wangu na nimepata uthibitisho, na nikimwambia mpenzi wangu anakataa , je wadau ni muafaka nimwambie amwache mpenzi wangu au nimwendee kwa sangoma wamfanyizie au wamshushe busha au vipi wana JF wazoefu

Kwanza kwanini mpenzi wako anamegwa? Muulize vizuri,usikute humridhishi ndo mana anafanya hivyo ila kukuambia hawezi kama tulivyo wapenzi wengi sijui ni aibu au!

Bora umuache huyo bibie uangalie usawa wako mbele,ufuate nini kwa mganga? Hivi vitu vinatokea sana kwenye jamii yaani kuacha/kuachwa pia kumega/kumegwa, kwahiyo usione imekutokea wewe tu hata kama inawezekana ni mara ya kwanza kwako!

Usimshushe kaka wa watu bushaz zake bwana kwa waganga, wengine watafaidi vipi?? Achana nae, pambana kiume siyo kidhaifu hivyo!
 
Kwanza kwanini mpenzi wako anamegwa? Muulize vizuri,usikute humridhishi ndo mana anafanya hivyo ila kukuambia hawezi kama tulivyo wapenzi wengi sijui ni aibu au!

Bora umuache huyo bibie uangalie usawa wako mbele,ufuate nini kwa mganga? Hivi vitu vinatokea sana kwenye jamii yaani kuacha/kuachwa pia kumega/kumegwa, kwahiyo usione imekutokea wewe tu hata kama inawezekana ni mara ya kwanza kwako!

Usimshushe kaka wa watu bushaz zake bwana kwa waganga, wengine watafaidi vipi?? Achana nae, pambana kiume siyo kidhaifu hivyo!

...duh, mmeamua kumpa live! kweli tupu hayo uliyosema, 'akimroga' huyo, wengine wataziba pengo, kwa kifupi demu hafai!!!
 
Back
Top Bottom