johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,889
- 141,824
Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi anayeungwa mkono na Chadema Mbatia amesema Wasaidizi wa Rais Samia wanaomuhujumu
Mbatia amesema haiwezekani wakati Rais Samia kwa nia njema kabisa yuko kwenye Maridhiano ya kisiasa Wasaidizi wake nao wanaanza kutengeneza migogoro kwenye vyama vya siasa.
Huku ni kumujumu Rais, amesisitiza Mbatia
Chanzo: ITV habari
Mbatia amesema haiwezekani wakati Rais Samia kwa nia njema kabisa yuko kwenye Maridhiano ya kisiasa Wasaidizi wake nao wanaanza kutengeneza migogoro kwenye vyama vya siasa.
Huku ni kumujumu Rais, amesisitiza Mbatia
Chanzo: ITV habari