Kiguu na njia
Member
- Dec 25, 2010
- 95
- 21
kwa sasa NCCR inakuwa na wabunge 5 wafuatao:
1. mhe. Machali
2. mhe. Agripina
3. mhe. Felix Mkosamali wa Muhambwe
4. mhe. David Kafulila
5. mhe. James Mbatia (mteule)
kwa vyoyote vile hii itawapa taabu sana wabunge wa NCCR ambao walijipambanua kuiunga mkono kama ya rasmi ya upinzani bungeni na wakati huo huo watakuwa wakihitaji kutomuudhi m/kiti wao ambao ni mteule wa serikali (rais)
1. mhe. Machali
2. mhe. Agripina
3. mhe. Felix Mkosamali wa Muhambwe
4. mhe. David Kafulila
5. mhe. James Mbatia (mteule)
kwa vyoyote vile hii itawapa taabu sana wabunge wa NCCR ambao walijipambanua kuiunga mkono kama ya rasmi ya upinzani bungeni na wakati huo huo watakuwa wakihitaji kutomuudhi m/kiti wao ambao ni mteule wa serikali (rais)