johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,902
- 141,845
Sijajua utaratibu wa Nccr mageuzi ukoje namna ya kumchagua KUB kama watafanikiwa kuwa chama kikuu cha upinzani.
Kama wanatumia utaratibu kama wa Chadema basi Mbatia akishinda ubunge ndiye atakuwa KUB.
Binafsi kulikoni Mbatia kuwa KUB ni heri hata Augustino Lyatonga Mrema .
Niishie hapo Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Kama wanatumia utaratibu kama wa Chadema basi Mbatia akishinda ubunge ndiye atakuwa KUB.
Binafsi kulikoni Mbatia kuwa KUB ni heri hata Augustino Lyatonga Mrema .
Niishie hapo Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!