Mbatia jipime, NCCR Mageuzi inakufia mfukoni

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,841
64462783589a8420476544382325db8b.jpg


Hivi kweli wanabodi James mbatia kwanini anakiua NCCR mageuzi chama chenye historia kubwa kuliko vyama vyote vya upinzani ?

NCCR ya mwaka 1995 imepotelea wapi?

NCCR ya one man show??Katibu mkuu ajulikani yuko wapi??
Vipaji vya watu kama kafulila vinapotezwa tatizo ni nini??

Au wewe ni mamluki kama inavyodaiwa ??
Wanachama wa NCCR amkeni mbatia anakiua chama!
Yaani leo NCCR imekuwa kama ACT wazalendo??
Huyu anasema lake yule anasema lake ??

Niwakumbushe tu Wanachama wa NCCRmlifanya makosa makubwa kumpa huyu chama anatia mashaka!! Kwanini uwa amlikwi huyu mtu kama ni mpinzani jiulizeni kwanini chama tawala uwa akiangaiki naye ??
Kila siku kuangaika na wakina mbowe??
Nina uhakika mbatia anakihujumu NCCR!!!

Watu tukisema ukweli tunaonekana wabaya!!
Kiukweli ni aibu kwa chama kuwa na mwenyekiti type ya mbatia !!!
Mwondoeni mbatia chama hicho kipumue!!!

Niwaambie
 
NCCR ni kama haipo inapumulia mwavuli wa UKAWA ambayo maisha yake yanategemea uhusiano kati ya Chadema na CUF ambavyo pia uhusiano wao ni wa kuliana timing. Shortly upinzani Bongo maigizo tu.
 
64462783589a8420476544382325db8b.jpg


Hivi kweli wanabodi James mbatia kwanini anakiua nccr mageuzi chama chenye historia kubwa kuliko vyama vyote vya upinzani ?

Nccr ya mwaka 1995 na hii nini tofauti sana !!

Nccr ya one man show??
Watu hawana hoja?
Katibu mkuu ajulikani yuko wapi??
Vipaji vya watu kama kafulila vinapotezwa tatizo ni nini??

Au wewe ni mamluki kama inavyo daiwa ??

Wanachama wa nncr amkeni mbatia anakiua chama!

Yaani leo nccr imekuwa kama Act wazalendo??

Huyu anasema lake yule anasema lake ??

Niwakumbushe tu Wanachama wa nccr mlifanya makosa makubwa kumpa huyu chama anatia mashaka!!

Kwanini uwa amlikwi huyu mtu kama ni mpinzani jiulizeni kwanini chama tawala uwa akiangaiki naye ??

Kila siku kuangaika na wakina mbowe??
Nina uhakika mbatia anakiujumu nccr!!!

Watu tukisema ukweli tunaonekana Lumumba!!

Kiukweli ni uzuni kwa chama kuwa na mwenyekiti type ya mbatia !!!

Mwondoeni mbatia chama hicho kipumue!!!

Niwaambie tu ukweli mchungu Mimi ni mmoja ya watu wanaoupenda upinzani lakini kwa hili la mbatia siwezi kungata meno huyu ni mamuluki aiwezekani chama kikose hata wabunge bungeni!!!

MBATIA yupo kwenye lile elite group la KASKAZIN kuwa lazima viongoz wa vyama karibu wote watoke huko , wao ndo wanajua uongoz amna WENGINE
 
64462783589a8420476544382325db8b.jpg


Hivi kweli wanabodi James mbatia kwanini anakiua NCCR mageuzi chama chenye historia kubwa kuliko vyama vyote vya upinzani ?

NCCR ya mwaka 1995 na hii nini tofauti sana !!

NCCR ya one man show??
Watu hawana hoja?
Katibu mkuu ajulikani yuko wapi??
Vipaji vya watu kama kafulila vinapotezwa tatizo ni nini??

Au wewe ni mamluki kama inavyodaiwa ??
Wanachama wa NCCR amkeni mbatia anakiua chama!
Yaani leo NCCR imekuwa kama ACT wazalendo??
Huyu anasema lake yule anasema lake ??

Niwakumbushe tu Wanachama wa NCCRmlifanya makosa makubwa kumpa huyu chama anatia mashaka!! Kwanini uwa amlikwi huyu mtu kama ni mpinzani jiulizeni kwanini chama tawala uwa akiangaiki naye ??
Kila siku kuangaika na wakina mbowe??
Nina uhakika mbatia anakihujumu NCCR!!!

Watu tukisema ukweli tunaonekana Lumumba!!
Kiukweli ni uzuni kwa chama kuwa na mwenyekiti type ya mbatia !!!
Mwondoeni mbatia chama hicho kipumue!!!

Niwaambie tu ukweli mchungu Mimi ni mmoja ya watu wanaoupenda upinzani lakini kwa hili la mbatia siwezi kungata meno huyu ni mamuluki aiwezekani chama kikose hata wabunge bungeni!!!
1)Hajulikani sio Ajulikani
2)Hamulikwi sio Amlikwi
3)Hakihangaiki sio Akiangaiki
4)Kuhangaika sio Kuangaika
5)Huzuni sio Uzuni
6) Muondoeni sio Mwondoeni
7)Mamluki sio mamuluki
8)Haiwezekani sio aiwezekani
9)Kung'ata sio Kungata

Inabidi nikusaidie tu FaizaFoxy ..... Lugha inaharibika sana.....
 
Tanzania ni muhimu zaidi kwake kuliko chama cha NCCR. Huyu ni mbunge sio wa VUNJO bali wa Tanzania. Anakutetea hata wewe usiyejua kuwa una haki ya kuishi kwa kutumia akili na utashi wako na sio woga wa 'ndio mzee'.

Achana na Mbatia, bandari inaelekea pabaya...tuache unafiki, tumwambie ukweli mhusika VAT isiifanye Mzinga Creek kuishia kuwa kama Bandari ya Tanga. Mzaha mzaha tutafikia sehemu zitakuwa zinatia nanga boti za uvuvi za HP50 huku tunajitekenya na kucheka wenyewe.
 
Tanzania ni muhimu zaidi kwake kuliko chama cha NCCR. Huyu ni mbunge sio wa VUNJO bali wa Tanzania. Anakutetea hata wewe usiyejua kuwa una haki ya kuishi kwa kutumia akili na utashi wako na sio woga wa 'ndio mzee'.

Achana na Mbatia, bandari inaelekea pabaya...tuache unafiki, tumwambie ukweli mhusika VAT isiifanye Mzinga Creek kuishia kuwa kama Bandari ya Tanga. Mzaha mzaha tutafikia sehemu zitakuwa zinatia nanga boti za uvuvi za HP50 huku tunajitekenya na kucheka wenyewe.
We kama unataka tujadili mambo ya bandari leta hoja ya bandari
 
Tanzania ni muhimu zaidi kwake kuliko chama cha NCCR. Huyu ni mbunge sio wa VUNJO bali wa Tanzania. Anakutetea hata wewe usiyejua kuwa una haki ya kuishi kwa kutumia akili na utashi wako na sio woga wa 'ndio mzee'.

Achana na Mbatia, bandari inaelekea pabaya...tuache unafiki, tumwambie ukweli mhusika VAT isiifanye Mzinga Creek kuishia kuwa kama Bandari ya Tanga. Mzaha mzaha tutafikia sehemu zitakuwa zinatia nanga boti za uvuvi za HP50 huku tunajitekenya na kucheka wenyewe.
Sio kubwabwaja
 
MBATIA yupo kwenye lile elite group la KASKAZIN kuwa lazima viongoz wa vyama karibu wote watoke huko , wao ndo wanajua uongoz amna WENGINE

Mbatia ni mtumishi hewa wa Kijitonyama. Aliingizwa kama kibaraka na Bosi mstaafu wa Kijitonyama anayetoka Mbeya mwenye jina linalotaka kushabihiana na la Dk. Nyamaza wa mjengoni. Wakati huo alikuwa akilipwa Sh. 1,600,000/- kwa mwezi kwa kuleta taarifa za ndani za upinzani. Huo ni 2010 na mzigo alikuwa akienda kuchukua nyumbani kwa mstaafu wa mashushushu huyo Mbezi. Hivyo Mbatia Yuko Ukawa/NCCR kimaslahi zaidi na "kijana mpendwa" wa Serikali iliyoko madarakani. Zipo taarifa (sijazithibitisha) kuwa ameongezewa mzigo kukimaliza Ukawa nguvu. Hoja ya kutoonesha Bunge live alitoa yeye kuwa ndio iliwapa umaarufu upinzani na kwamba alimwambia Msoga lakini JK alikataa ushauri huo. Mbatia ni mamluki.
 
Back
Top Bottom