Wewe na nani?Kwa hiyo ukimchukia mkeo unachukia na watoto? Wananchi wamekutuma bungeni uwawakilishe, wewe hasira zako kwa naibu spika unatuletea sis
Wewe na nani?Kwa hiyo ukimchukia mkeo unachukia na watoto? Wananchi wamekutuma bungeni uwawakilishe, wewe hasira zako kwa naibu spika unatuletea sis
Your comment is too subjective, I can't even try to think on it because your so weak In arguments you post always.Unahitaji kujitathimini wewe mwenyewe kama una aliki na uwezo wa kawaida - common sense. Unawezaje to question ability ya watu wengine kama unaamini kwamba kususia bunge (the people's house) kwa sababu ana hasira na mtu mmoja. And, you believe that's the best you can come up with kwamba watu watajutia!! God forbid, lakini inatia kichefu chefu kusikia eti kunahitaji analysis hapa.
Duh acHa chukiHahahahah daa et jamaa ana hasira na kina mama .unamanisha nn labda
Mtu aspokuwepo ukawa ndo bora kwa iyo unataka kzbtsha upinzan mtu bora ni dr slaaKwa hiyo ukimchukia mkeo unachukia na watoto? Wananchi wamekutuma bungeni uwawakilishe, wewe hasira zako kwa naibu spika unatuletea sisi,? Kweli Dr slaa alikuwa kichwa
Imetulia sana!Kwahiyo chuki zake binafsi zipo juu ya haki za wananchi kupata uwakilishi? .... No nimesahau hata hao wananchi wanaoweza kumchagua awe mwakilishi wao nao hawaitaki hiyo haki so endeleeni tu na maigizo. Pongezi leo zimuendee mbunifu wa vazi jeusi.
Hunijui, and therefore huwezi kunijudge. Ndo maana ukawaita wengine wote wajinga ndani ya JF kufikiri kama wewe. That is being subjective.Your comment is too subjective, I can't even try to think on it because your so weak In arguments you post always.
Ok. BY THE WAY MSIMAMO WAKO UKO UPANDE GANI??? MLENGWA WA KUSHOTO AU KULIA BROTHER????????Hunijui, and therefore huwezi kunijudge. Ndo maana ukawaita wengine wote wajinga ndani ya JF kufikiri kama wewe. That is being subjective.