Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 930
- 1,408
Mbatia wa sasa siyo yule wa jana,muda si mrefu atakuwa kama Lyatonga
Aisee.. Yani jamaa amegeuzwa cndm... Yani atatumika na kutupwa puuuhhSio kwamba hataki kuwa bungeni, hayo ni maagizo ya waliomnunua, na vile fungu wameshampa wanampa muongozo nini cha kufanya. Huoni yeye anaribuni wanachama na wafuasi wa upinzani tu, lakini ni marufuku kusema kawapata wanaccm, maana mkataba wa manunuzi haruhusiwi hilo.
Taifa la wajinga na mang'ombeHuyu mama Tz anakwama wapi? Wenzake wako bungeni wanatoa mipasho kuhusu Mbowe yeye kaamua ajiongeze kununua watu bila malipo stahiki.!!
Tz ina shangaza kwa kweli.
Sio kwamba hataki kuwa bungeni, hayo ni maagizo ya waliomnunua, na vile fungu wameshampa wanampa muongozo nini cha kufanya. Huoni yeye anaribuni wanachama na wafuasi wa upinzani tu, lakini ni marufuku kusema kawapata wanaccm, maana mkataba wa manunuzi haruhusiwi hilo.