Kwani huyo katibu anakosa hapo? Kama wanawake wa chama waliamua hivyo, kwanini asisaini? Na kama alisaini kwa niaba yao, kwanini atolewe sadaka? Bado sijaelewa hapo!
Ninamashaka na maamuzi ya Mbatia. Jana kamtimua Kafulila., leo Katibu wa wanawake. Lazima kuna tatizo kubwa kuliko tunavyodhani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.