Wanajamvi jana Mbatia alikuwa akihutubia maeneo ya Soko kubwa hapa Mtwara,kuna mwananchi akamuuli kama mpinzani kwa nini ameteuliwa na Rais Kikwete kuwa M bunge ,Je kweli yeye ni mpinzani au yuko CCM?.Alijibu kuna watu wengi wameteuliwa na Rais je na wao ni CCM?,akamtaja Balegu kuwa Tume ya Katiba,Zitto kamati ya Madini,wananchi wakawa wanaongea kwa chinichini kuonesha kutokubaliana na majibu yake.Je Mbatia kuulinganisha uteuzi wake na wa Wanachadema una maana gani?