Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,631
- 20,966
TUFUATE NENO LAKE,TUSIFUATE MATENDO YAKE,KWANI HAPO MWANZO PALIKUWA NA NENO NENO NAYE ALIKUWA NI MUNGU
Bujibuji hulka asili ya binadamu ni kujitetea na kuficha uovu hata kama amekamatwa red handed! Ni binadamu wachache mno wanaoenda kinyume na hii tabia ndio hukubali kutenda kosa fulani bila kujali udogo wala ukubwa wake
Lakini ndio ashapewa warning na Mungu tayariLeo mzee wa upako ataongeza idadi ya waumini vile asivyotarajia, kuna watu wamefunga safari waende tu wakamsikie akijitetea na kutenda dhambi nyingine ya kudanganya waumini ili ajinasue kwenye mtego
Ukumbuke hapa ni kanisanimtoa uzi update zikuje kuje basi, fanya kama wanavyofanyaga zile updates za kesi ya mzee wa maono kule a town
Cro alishampima kiwango cha alcohol aje atuambieBujibuji hulka asili ya binadamu ni kujitetea na kuficha uovu hata kama amekamatwa red handed! Ni binadamu wachache mno wanaoenda kinyume na hii tabia ndio hukubali kutenda kosa fulani bila kujali udogo wala ukubwa wake
Lusekelo atajitokeza mbele ya jamii kanisani kwake akiwa kavaa sura ya upole na utetezi mwingi sana ili kujisafisha
Afanye hivyo ajisafishe aaminike aendelee kupiga pesa lakini akumbuke kutubu! Kapewa warning Mungu hadhihakiwi...
Ukumbuke hapa ni kanisani
mkuu hiyo avatar nikikumbuka vibweka vya huyo bwana,huwa naishia kucheka tu,huyo jamaa ni zero brain sana,Lol...