Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kweli kweli!Hupendi mtu anayeupinga ushoga???
Mbona unatutisha?
Anatumia nguvu kubwa sana kuomba watu wabonyeze bio. Promo hizi!!Huyu kaka inaonekana Flola alikuwa akimcontrol pakubwa sana, kipindi yupo na flora alikuwa anavutia sana kitabia lakini sasa kaka anatukana hadharani na kutoa mada za ajabu ajabu mitandaoni
View attachment 1189196
Hivi huyu nae huwa ni Star??
nakusapot mkuu.Yaani angekuwa hajaokoka sijui ingelikuwaje!!!! Kweli walokole mmeingiliwa na jeshi jingine jipya. Hivi we mbasha, unataka kutuambia kuwa ukiokoka huwa unanyang;anywa sehemu ya mwili wako?? Pili, huyo shoga alikuona wapi hata akutamani na pia umpe namba zako??
Nadhani kuna mahali lipo tatizo
Hupendi mtu anayeupinga ushoga???
Mbona unatutisha?