Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Hahahahaha๐๐๐๐๐
Deadin't yet?
Hahahahaha๐๐๐๐๐
Deadin't yet?
-Nil-,null nodeVipi jamani kuna anaejua kama mheshimiwa alihudhuria ibada ya jumapili na kutoa hutuba yake ya kila jumapili kanisani?
Oh well, kama ni hivyo kila mmoja ana haki ya kuja na conclusion yake. Yeyote anaeamini kuwa hakuna jambo linalomzuia kuonekana hadharani anahitaji kuzinguliwa kwa jadi ya kwao.-Nil-,null node
Unaelewa kwamba ukienda Ikulu na kumkosa Magufuli hilo halithibitishi lolote?Nenda Ikulu ukimkosa uje utuambie, usisubiri tu kupewa ushahidi na wengine hata wewe unaweza kufanya.
Kwa haki, hawatakiwi kumfunga kwa uzushi bila kuthibitisha kwamba alichosema ni uzushi.Huu ujinga ndio alikuwa nao yule dogo(ngonyani) wa DIT kipindi kile kazusha mwamunyange kafa. Alivyofika mahakamani akasema mleteni mwamunyange....... Alionekana kituko. Kumbe wanatoa humu huu ujinga
Pole Sana Benedict ngonyani, pole kwa kukaa segerea sababu ya ujinga wa mitandaoni
Kwenye katiba ya nchi umeona mahali walipoandika uongo ni dhambi?Kumshuhudia jirani yako uongo. Kwa Mungu pia ni dhambi kosa.
Hajafa kafungua macho alfajirii baada ya kuwa amekata kauli toka tarehe 4/3 ina maana zaidi ya siku kumi kuwa kwenye machine hajitambui, haonekani kuwa timamu ....japo watalazimisha aanze kutoa maagizo ,kwenye nchi inayofuata katiba angehitaji miezi kadhaa ya kuangalia afya yake ....Ndio maana watu wanaombea kifo
Umezitoa wapi hiziHajafa kafungua macho alfajirii baada ya kuwa amekata kauli toka tarehe 4/3 ina maana zaidi ya siku kumi kuwa kwenye machine hajitambui, haonekani kuwa timamu ....japo watalazimisha aanze kutoa maagizo ,kwenye nchi inayofuata katiba angehitaji miezi kadhaa ya kuangalia afya yake ....
Kaka ,Maswali gani haya ? si unajua sheria za humu ndani [ chandam]Umezitoa wapi hizi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Ramadhani Kingai amesema Polisi wanamshikilia Charles Majura (35) ambaye ni Fundi Simu, kwa kosa la kimtandao kwa kusambaza taarifa za uzushi kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli ni mgonjwa.
Pia, Kingai amesema wanamsaka mwanaharakati anayejiita Kigogo katika mtandao wa Twitter, kwa tuhuma za kuzusha hofu na uongo kwamba Rais John Magufuli anaumwa.
View attachment 1724776
waziri mkuu amesema rais yuko salama.
ila sababu mna hamu wacha yawakute.
unaulizia mtu unaambiwa yuko salama.badi huridhiki,unajua kiranga kikoje mkuu?Mkuu yatukute yapi!?yani kumuulizia mtu siku hizi imekuwa haramu..
Tena anastahili pinguUnapaswa kujisalimisha kituo cha polisi. Unamuombea JPM apone, nani kakwambia anaumwa????