Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Chuki hazitaisha kwenye huu utawala
Ndiyo kinachofuata sasaMbombo ngafu. Wafunge na mitandao yote ya kijamii na TV za nje ili raia tusisikilize.
Tatizo ni kuzusha Rais ni mgonjwa. Hiyo, nadhani, ni kazi ya msemaji mkuu wa serikali.Hivi mtu kuwa mgonjwa ni dhambi?
simu yenyewe inauzwa ina vpn ...kipindi hiki iwe pc au simu siwashi bila vpnKwanini niwashe vpn kama haijafungwa?
Una habari kua kwa mujibu wa TCRA matumizi ya vpn ni illegal?
Kujificha kwa tafsiri nyingine ni mgonjwa? Tuache mihemko Acha muda uongeesasa kwa nini anajificha
Kuna theory inasema "to get the end, go to the beginning"Maajabu makubwa kabisa haya!
Amesambaza kwa kutumia media gani?
Hakuna weledi hapo. Waliosambaza ni wengine huyo wanamuonea tu ili waonekane wanapiga kazi. Mediocrely done.
Na wewe jifanye kigogo basiBado wanahesabu siku za kigogo...... Majingaaa
Hii kesi akipelekwa mahakamani kwa uzushi, mshtakiwa kasema kama mimi mzushi tupeni ushahidi usiopinguka rais Magufuli yupo na afya nzuri, tuonesheni rais huyu hapa leo na ana afya nzuri, kwa ushahidi wa kumuonq na wa jopo la madaktari, mahakama itakuwa sehemu nzuri sana na kumaliza ubishi.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Ramadhani Kingai amesema Polisi wanamshikilia Charles Majura (35) ambaye ni Fundi Simu, kwa kosa la kimtandao kwa kusambaza taarifa za uzushi kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli ni mgonjwa.
Pia, Kingai amesema wanamsaka mwanaharakati anayejiita Kigogo katika mtandao wa Twitter, kwa tuhuma za kuzusha hofu na uongo kwamba Rais John Magufuli anaumwa.
View attachment 1724776
Mpaka sasa hajasema chochote!!,kama ni "KWELI au SI KWELI"au "NI UZUSHI"Tatizo ni kuzusha Rais ni mgonjwa. Hiyo, nadhani, ni kazi ya msemaji mkuu wa serikali.
Wewe unajuaje kwamba kazusha na huo si ukweli?Tatizo ni kuzusha Rais ni mgonjwa. Hiyo, nadhani, ni kazi ya msemaji mkuu wa serikali.
Kumshuhudia jirani yako uongo. Kwa Mungu pia ni dhambi kosa.Kosa lake hapo nini?
Kusema ni mgonjwa?
Nenda Ikulu ukimkosa uje utuambie, usisubiri tu kupewa ushahidi na wengine hata wewe unaweza kufanya.Hii kesi akipelekwa mahakamani kwa uzushi, mshtakiwa kasema kama mimi mzushi tupeni ushahidi usiopinguka rais Magufuli yupo na afya nzuri, tuonesheni rais huyu hapa leo na ana afya nzuri, kwa ushahidi wa kumuonq na wa jopo la madaktari, mahakama itakuwa sehemu nzuri sana na kumaliza ubishi...
Huu ujinga ndio alikuwa nao yule dogo(ngonyani) wa DIT kipindi kile kazusha mwamunyange kafa. Alivyofika mahakamani akasema mleteni mwamunyange....... Alionekana kituko. Kumbe wanatoa humu huu ujinga.Hii kesi akipelekwa mahakamani kwa uzushi, mshtakiwa kasema kama mimi mzushi tupeni ushahidi usiopinguka rais Magufuli yupo na afya nzuri, tuonesheni rais huyu hapa leo na ana afya nzuri, kwa ushahidi wa kumuonq na wa jopo la madaktari, mahakama itakuwa sehemu nzuri sana na kumaliza ubishi....
Wewe huoni aibu kwa wakamataji ila kwa mkamatwaji tu?Ni AIBU kukamatwa na kuwekwa ndani kwasababu za kijinga kama hizi...
Vipi jamani kuna anaejua kama mheshimiwa alihudhuria ibada ya jumapili na kutoa hutuba yake ya kila jumapili kanisani?Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Ramadhani Kingai amesema Polisi wanamshikilia Charles Majura (35) ambaye ni Fundi Simu, kwa kosa la kimtandao kwa kusambaza taarifa za uzushi kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli ni mgonjwa....