Artificial intelligence
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 1,262
- 2,191
Uongo hapo ni upi bwana mkubwa?Wewe utakuwa muongo kwa 7bu kama paroko anafundisha waumini njia ya kwenda mbinguni lakini anam'binua kichuguu mtoto wa kiume anamuanzia akiwa na miaka mitano kindergarten anaendelea kumla hadi anachukua PhD hadi anakuwa askofu anaendelea kuliwa kuna uongo zaidi ya huu? Kwa mfano ungesikia mwanao anaechukua M. Sc Medicine aliyesoma seminari na kuonekana ana adabu za kufa mtu kumbe BWABWA kutokana na kuliwa kiboga miaka yote na mtu anaeitwa paroko unadhani ungekuja na huu hutetezi au ni kwa vile walitatuliwa marinda hawakuhusu?
Mimi nshaacha kujibizana kwa hisia na hasira isipokuwa kwa facts & logic tu.
Hakuna mahali nimesapoti vitendo hivyo bali nilikuwa narekebisha makosa yako ya upotoshaji juu ya indulgence.