Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
Wana JF wale waliokuwepo enzi za wanamuziki hawa. Kama wangepambanishwa nani angekuwa zaidi? Najua kila mmoja alikuwa na kipaji chake tofauti na mwingine na uanamuziki wao ulikuwa tofauti pia lakini kama ingekuwa kuchagua mmoja tu kati ya hao, yupi alikuwa anakusuuza moyo wako? Kwanini?