kuna tetesi kwamba Mbaraka dau ameanza mkakati mzito wa Kumngoa Bulj katika Jimbo la Uchaguzi Mafia.
Mbaraka dau ameanza kugawa misaada kila kona.
2005-2010 kijana huyu hakutoa hata Chandarua katika Wilaya ile kwa kuwa hakuwa na nia ya kuwania nafasi.
2010-2012 mamilion ya fedha ameaymwaga kwa kisingizio Cha misaada.
Mbaraka dau ameanza kugawa misaada kila kona.
2005-2010 kijana huyu hakutoa hata Chandarua katika Wilaya ile kwa kuwa hakuwa na nia ya kuwania nafasi.
2010-2012 mamilion ya fedha ameaymwaga kwa kisingizio Cha misaada.