Mbao FC na Mwadui FC.. Tunakuja Kuchukua Point Zetu 6.

kila mtu anajua simba ndo club bora kabisa tanzania na ni moja ya club bora duniani.
 
Baada ya 'timu bora kwa sasa nchini Tanzania' Simba SC kupunguzwa kasi na Ndada, leo itakua angani kuelekea kanda ya ziwa lengo likiwa ni kuchukua point zake 6.
Simba SC akiwa kanda ya ziwa atacheza mechi zifuatazo;

Mechi: Mbao FC VS Simba SC
Uwanja: CCM Kirumba, Mwanza
Tarehe: 20/09/2018.

Mechi: Mwadui FC VS Simba SC
Uwanja: CCM Kambarage, Shinyanga.
Tarehe: 22/09/2018

Simba SC akiwa na point zake 6 mfukoni alizozipata kanda ya ziwa, 27/09/2018 atacheza dhidi ya Biashara United katika dimba laTaifa Stadium, tarehe

Baada ya gemu hiyo kinachofuata, ni ile 'sikukuu' yetu dhidi ya Ndala. Naamini kama jamaa hawatagoma kuingiza timu siku hiyo, basi baada ya Dk. 45 hawatarudi uwanjani.

"Jamani Eeeeeh.. huyu Mnyama kashajeruhiwa, na sote tunajua Simba akijeruhiwa kipi kinafuata.. Natanguliza pole zangu za dhati kwa timu zote (hasa hasa Ndala) zinazoenda kukutana nae kuanzia hivi sasa" - Sembo

Nikiripoti toka Julius Nyerere International Airport.. Ni Mimi Sembo wa Simba TIIIIIIIIVIIIIIIIIIIIIIIIII (in George Maratu Voice)
mkuu maendeleo ya uwanja huko bunju vipi? mlisema mtapeleka media vipi mlifanikiwa kupeleka? kapicha itakuwa sio mbaya
 
-Mwaka 2007 kwenye mashindano ya Club Bingwa Africa Mashariki nakumbuka Yanga ilikimbia hata uwanjani hawakuonekana.
-Mwaka 2018 kwenye mashindano hayohayo Yanga na Simba walipangwa kundi 1. Nadhani hapa unakumbuka kilichomuokoa Yanga ni mbio
Asee hivi kutokuja uwanjani na kuja halafu mkong'oto ukikolea unakimbia katikati ya pambano kipi ni kituko kikuu zaidi yaani kocha anawaambia kipindi cha pili tumieni mbinu hii na hii halafu wachezaji wanamwambia ile hali siyo, sisi haturudi uwanjani
 
Baada ya 'timu bora kwa sasa nchini Tanzania' Simba SC kupunguzwa kasi na Ndada, leo itakua angani kuelekea kanda ya ziwa lengo likiwa ni kuchukua point zake 6.
Simba SC akiwa kanda ya ziwa atacheza mechi zifuatazo;

Mechi: Mbao FC VS Simba SC
Uwanja: CCM Kirumba, Mwanza
Tarehe: 20/09/2018.

Mechi: Mwadui FC VS Simba SC
Uwanja: CCM Kambarage, Shinyanga.
Tarehe: 22/09/2018

Simba SC akiwa na point zake 6 mfukoni alizozipata kanda ya ziwa, 27/09/2018 atacheza dhidi ya Biashara United katika dimba laTaifa Stadium, tarehe

Baada ya gemu hiyo kinachofuata, ni ile 'sikukuu' yetu dhidi ya Ndala. Naamini kama jamaa hawatagoma kuingiza timu siku hiyo, basi baada ya Dk. 45 hawatarudi uwanjani.

"Jamani Eeeeeh.. huyu Mnyama kashajeruhiwa, na sote tunajua Simba akijeruhiwa kipi kinafuata.. Natanguliza pole zangu za dhati kwa timu zote (hasa hasa Ndala) zinazoenda kukutana nae kuanzia hivi sasa" - Sembo

Nikiripoti toka Julius Nyerere International Airport.. Ni Mimi Sembo wa Simba TIIIIIIIIVIIIIIIIIIIIIIIIII (in George Maratu Voice)
Kanda ya ziwa mtarudi na Pointi zisizozidi tatu
 
Yanga wasipokula tano siku hiyo natembea uchi ubungo mpaka kariakoo
Hahaha.. Mkuu hizo 5 sidhani kama zitafika.. Maana za chinichini, jamaa wanapanga kutoingiza timu uwanjani.
 
Ushabiki wa kipuuzi kiasi hiki ndio uliosababisha nikaacha kabisa kushabikia mpira wa Tanzania Iwe klabu au Taifa Stars
Mkuu bado tunakuhitaji, usitukimbie. Labda nikuambie tu, sasa mambo yamebadilika toka uache kushabikia soka la Tanzania.. Simba SC tumeimarika mara dufu. Jaribu kuifatilia, then utaona kuna mambo yanakupita.
 
Kagere viwanja vya mikoani anasema vibovu
Mlianza hivi hivi kwa Okwi, mwisho wa siku akawa mfungaji bora.. Sasa Mkuu tukutane hapa hapa baada ya gemu ya Mwadui ili tupeane tathmini ya MK14 akiwa kanda ya ziwa.
 
Kwa mdomo hamjambo, issue ipo kwenye idadi ya makombe.
Msimu ulipoita tumechukua makombe 2.. Ligi kuu na FA.. Msimu huu tumeanza na Ngao ya Jamii.. Then makombe 3 (ligi, FA na Muungano) yakifuata huku katika katika ile michuano tutakayoshiriki mabingwa tu katika bara hili la Africa, kama ikitokea tumefanya vibaya (japo hiki kitu hakipo) tutaishia hatua ya makundi.
 
mkuu maendeleo ya uwanja huko bunju vipi? mlisema mtapeleka media vipi mlifanikiwa kupeleka? kapicha itakuwa sio mbaya
Mkuu mambo yanaenda kama yalivyopangwa.. Vita subira.
 
Mkuu, yaliyotokea Ntwara kwa Ndanda FC, kufungwa na Simba miaka yote isipokuwa juzi bado haijakusaidia angalau kuwa objective?

Vv
 
Mkuu, yaliyotokea Ntwara kwa Ndanda FC, kufungwa na Simba miaka yote isipokuwa juzi bado haijakusaidia angalau kuwa objective?

Vv
Mkuu tangu dunia hii iumbwe, hakuna klabu yoyote iliyowahi kuchukua ubingwa kwa kushinda mechi zote (lazima idroo hata menchi moja).. Simba SC ni nani mpaka asidroo?!
Kwa maelezo zaidi pitia hapa: Chemsha Bongo.. Mshindi Kujinyakulia Kitenge toka Nchini Kongo. - JamiiForums unaweza jinyakulia kitenge.
Lakini hii sababu ya kutuzuia kuchukua point zetu 6 kanda ya ziwa. Point hizi 6 tuna kazi nazo.. Itabidi Mbao na Mwadui watusamehe tu.
 
Back
Top Bottom