changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 5,587
- 9,179
Kufunga goli sio jambo jepesi hivyo.Ila anakosa magoli mengi sana. Natamani angekuwa makini zaidi.
Kufunga goli sio jambo jepesi hivyo.Ila anakosa magoli mengi sana. Natamani angekuwa makini zaidi.
Ila haya majamaa mepesi sana kusahau. Mara hii tu yashasahau Mbeya City, mtibwa, kaitaba.Hata hizo tano kuzitengeneza sio rahisi
Umeongea kushabiki sana haya mkuu endeleeni na mbinu za mwalimu wenu kama hujui kazi ya straika ni sawa kusema Van nistelrooy na philipo Inzaghi walikuwa wanafunzi waliofaulu kwa kuigizia (waviziaji) Nyie mpaka sasa mnaukame wa magoli mnashangalia hata mkipewa penati lakini bado mnakosa penati zenyewe halafu unakuja kuongea pumba eti Mayele anafunga magoli ya kuvizia na nyie hamtaki magoli ya dizaini hiyo.Sio mbinu ya mwalimu
Ni sawa na mwanafunzi aliyefaulu alama za juu kwa kutazamia kwa wengine
Halafu kukawa na mwanafunzi mwingine mwenye ufaulu wa kawaida tu.
Watu wanahoji aina ya ujanja anaotumia mwanafunzi wako sio nzuri kwasababu anafuga ubovu, we ukawa unasema kama huyo mwanafunzi wa pili asijifunze kwa huyo mwanafunzi anayetazamia kwa wenzake
Sio mbinu ya mwalimu kufundisha utazamiaji au cheating kwenye mtihani
Utakua mpumbavu kumfananisha mayele na wazee ambao kwenye mechi 3 hawana goli wala assistNafasi tano unafunga moja, what a striker.
yanga anaongoza goli 1 lililofungwa na mayele dakika ya 53 kwa kichwa
Ila sio la kiufundi
bocco, mugalu na kagere wanapata magoli kwenye nafasi ngapi?Nafasi tano unafunga moja, what a striker.
Dakika 270+ bila mmetengeneza nafasi ngapi? Penalty 7 mmefunga ngapi?Nafasi tano unafunga moja, what a striker.