Mbao fc 0 vs 1 Yanga | ASFC | Kirumba Mwanza

Sio mbinu ya mwalimu

Ni sawa na mwanafunzi aliyefaulu alama za juu kwa kutazamia kwa wengine

Halafu kukawa na mwanafunzi mwingine mwenye ufaulu wa kawaida tu.

Watu wanahoji aina ya ujanja anaotumia mwanafunzi wako sio nzuri kwasababu anafuga ubovu, we ukawa unasema kama huyo mwanafunzi wa pili asijifunze kwa huyo mwanafunzi anayetazamia kwa wenzake

Sio mbinu ya mwalimu kufundisha utazamiaji au cheating kwenye mtihani
Umeongea kushabiki sana haya mkuu endeleeni na mbinu za mwalimu wenu kama hujui kazi ya straika ni sawa kusema Van nistelrooy na philipo Inzaghi walikuwa wanafunzi waliofaulu kwa kuigizia (waviziaji) Nyie mpaka sasa mnaukame wa magoli mnashangalia hata mkipewa penati lakini bado mnakosa penati zenyewe halafu unakuja kuongea pumba eti Mayele anafunga magoli ya kuvizia na nyie hamtaki magoli ya dizaini hiyo.
 
Ilikuwa ngapi ngapi wakuu??

Mbona mmeondoka kimya kimya wakati sisi wengine tunatumia freebasics??
 
Back
Top Bottom