The Eye
JF-Expert Member
- Oct 29, 2020
- 278
- 387
yanga anaongoza goli 1 lililofungwa na mayele dakika ya 53 kwa kichwaToa matokeo mkuu...
Ngapi??
Dakika ya ngapi?
Kumbe ni rahisi hivyo, asa kwanini wakina Kagere wasijifunze kuwa waviziaji?Jamaa ni mviziaji sana mara zote ye anashinda kwenye box la mbao tu sa anakosaje kufunga
Sheikh tuwekee matokeo! Mbona kama unawalaumu tena hao Mbao!Mbao kageuka mpapai, hata kwa matumizi ya kuni hafai
Mauya mtu sana, anakosa Tactical education kitu ambacho Nabi ilibidi amfundishe, muangalie kwenye build up ile first touch yake, body orientation, namna anavyoturn ila kwenye final ball ndio kituko. Ni vitu vidogo tu vinafundishika.Ubunifu umepotea pale kati... Mauya ni mzigo wa mwiba ukiubeba unaumia
Sio mbinu ya mwalimuKumbe ni rahisi hivyo, asa kwanini wakina Kagere wasijifunze kuwa waviziaji?
Ila anakosa magoli mengi sana. Natamani angekuwa makini zaidi.Fiston Kalala Mayele huu mwaka wazee wenye kocha wao kutoka Madrid wanaumia.
siyo mpira waliofundishwa ukiona hivyo.Kumbe ni rahisi hivyo, asa kwanini wakina Kagere wasijifunze kuwa waviziaji?
Nafasi tano unafunga moja, what a striker.Fiston Kalala Mayele huu mwaka wazee wenye kocha wao kutoka Madrid wanaumia.
Cha muhimu kafunga na kufunga ndio tabia yake.Nafasi tano unafunga moja, what a striker.
Ya kiufundi subiri utafunga na mbeya cityyanga anaongoza goli 1 lililofungwa na mayele dakika ya 53 kwa kichwa
Ila sio la kiufundi
Bocco Na Mugalu Wanafunga NgapiNafasi tano unafunga moja, what a striker.
Kuna watu kazi yao hua ni kulaumu tuMauya mtu sana, anakosa Tactical education kitu ambacho Nabi ilibidi amfundishe, muangalie kwenye build up ile first touch yake, body orientation, namna anavyoturn ila kwenye final ball ndio kituko. Ni vitu vidogo tu vinafundishika.
Hata hizo tano kuzitengeneza sio rahisiNafasi tano unafunga moja, what a striker.
Kwanini asa hata kwa mpira waliofundishwa hawafungi pia hao wakina Kagere, shida nini?siyo mpira waliofundishwa ukiona hivyo.