MKuu kuna azam max, unaangalia soccer mkononi mwakoDah! Mwananchi hii mechi leo inanipita hivi hivi! Hii safari leo ilikuwa haikwepeki kabisa!
Ngoja tu niendelee kufuatilia kwa shingo upande updates za huyu mamluki wa Moo - Scars
Asiyependwa na scarsMayeleeeeee
Inawezekana ikatokea siku moja. Ila siyo leo.Yanga lazima wafungwe
Jamaa ni mviziaji sana mara zote ye anashinda kwenye box la mbao tu sa anakosaje kufungaAsiyependwa na scars
Makolo mikia fc acheni kuwewesekaYanga hakuna timu ni vile tu bado hajatembea sana mikoani kwenye viwanja vyenye kinyaa hata chichidodo tu hatui
Nimeona bahasha ya qaqNaam lango la mbao linazidi kukamiwa zaidi na sasa mashambulizi yote yanachezwa kwenye eneo lao, mpira haujavuka katikati ya uwanja