Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiitukane TANESCO najua una uchungu na hizo kumbukumbuHebu tulia andika vema.
Mweee! Unataka kuwasha moto usio weza kuuzima eeh! Hakuna watu wenye matusi makali kama mafundi wa TANESCO. Yani wanaweza wakatukana matusi mapya kuanzia asubuhi mpaka jioni kwa mwaka mmoja mfululizo bila kurudia matusi... Wale jamaa wala usithubutu. Wana PhD ya kutukana.Nashauri Ufunguliwe Uzi wa Kuwatukana MATUSI MAKALI Tanesco, Mbali na Umasikini Tulionao hawa wanazidi kututia Umasikini zaidi, Wanataka Tukaishi kwenye Mibuyu!? Wallah Tanesco wakiendelea Kumilikishwa Shirika Mimi nitahama Nchi"Naapa"
umenikumbusha wanaposimamisha nguzo barabarani kwa kutumia mikona na kamba, ni lazima ukimbie km kuna wanawakeMweee! Unataka kuwasha moto usio weza kuuzima eeh! Hakuna watu wenye matusi makali kama mafundi wa TANESCO. Yani wanaweza wakakukana matusi mapya kuanzi asubuhi mpaka jioni kwa mwaka mmoja mfululizo bila kurudia matusi... Wale jamaa wala usithubutu. Wana PhD ya kutukana.
Dar es salaamMkoa gani uo... Uku chato tusha sahau ata Kama uwa Kuna usiku 24hrs Kama mchana vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hii serikali inaboa sana aisee...Hata sasa umeme hamna aisee. Na hili joto la Dar huu upuuzi wa shida ya umeme sijui utaisha lini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoa gani uo... Uku chato tusha sahau ata Kama uwa Kuna usiku 24hrs Kama mchana vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko hata luku hamnunui naskiaMkoa gani uo... Uku chato tusha sahau ata Kama uwa Kuna usiku 24hrs Kama mchana vile
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeibiwa sana...Imagine matatizo ya Tanesco hayaishagi na hapo tulikuwa tubaimba Tanzania ya viwanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua sisi watanzania almost ni mazezeta, hatujui haki zetu kwa kweli...Yaani watu wanaamua kutuendesha vile watakavyo..unajua hawa watu wanaboa sana aisee...Imagine matatizo ya Tanesco hayaishagi na hapo tulikuwa tubaimba Tanzania ya viwanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini hawanunui mkuu?Huko hata luku hamnunui naskia
Polen huku niliko umeme huwa unakatika jumapili kama yakiwepo matengenezo yasipokuwepo haukatiki hata kwa dawa