Mbali na udaktari/ualimu, kozi gani ya sayansi yenye ajira ya moja kwa moja?

prync

Member
May 27, 2015
35
6
Ukiachilia mbali udaktari/ualimu ni kozi gani yenye ajira ya moja kwa moja hasa kwa michepuo ya sayansi-?
 
Kwa mujibu wa sheria nimefuta ujinga[/QU unafikiri ni mfumo wa elimu etu unafanya kuwa na wimbi kubwa la ukosefu ajira lashaaaa au ni kutojiongea kujiajiri pia ,wakati mwingine hunakosa mtaji wa kujiendelea kiuchumi??
 
samahani unafikiri ni mfumo wa elimu etu inafanya kuwa na wimbi kubwa la ukosefu ajira lashaaaa au ni kutojiongea kujiajiri,,,wakaati mwingine huna mtaji wa kujiendelea kiuchumi??
Serikali haikaweka mazingira rafiki kwa vijana kujiajiri
1. Likizo ya kodi
2. Mkopo wenye riba nafuu
Mentor wa juwaingoza katika miaka ya mwanzo
 
Serikali haikaweka mazingira rafiki kwa vijana kujiajiri
1. Likizo ya kodi
2. Mkopo wenye riba nafuu
Mentor wa juwaingoza katika miaka ya mwanzo
mekuelewa lakini pia misingi yetu ya elimu ambayo ni theory kwanza vitendo baadaye ,kwa staili hii kuajiriwa/kuajiriwa inabidi tusahau kidogo.... mtazamo wangu ingekuwa wahitimu wote wa kati/ juu wanapo hitimu waelekewe sehemu husika kwa ajili ya elimu ya vitendo/
 
mekuelewa lakini pia misingi yetu ya elimu ambayo ni theory kwanza vitendo baadaye ,kwa staili hii kuajiriwa/kuajiriwa inabidi tusahau kidogo.... mtazamo wangu ingekuwa wahitimu wote wa kati/ juu wanapo hitimu waelekewe sehemu husika kwa ajili ya elimu ya vitendo/
Wafanya biashara wakubwa watoe nafasi za apprenticeship kwa vijana
 
Wafanya biashara wakubwa watoe nafasi za apprenticeship kwa vijana
sasa ishu inakuja yule mkongwe hatakueleza jinsi inavyotakiwa maana anakuwa na iman kwa ukimzidi kiutendaji yeye anachake palee...hii iman ni mbaya sana
 
Ila zipo course nyengne kama vile Physiotherapy, Optometry, Nurses pia, Pharmacy, Biomedical sciences,
 
ukiachilia mbali udaktari/ualimu ni kozi gani yenye ajira ya moja kwa moja hasa kwa michepuo ya sayansi-?
Ukweli mchungu ni kwamba kwa sasa hakuna fani yenye ajira moja kwa moja hata huo udaktari, Ila tu kuna course zenye uafadhali pia unaweza kuangalia mazingira yako wapi unaweza kupata nafasi nzuri zaidi ya kuitumikia fani yako, mfano babu yako ana dispensary kasome udaktari,med lab,pharmacy uiendeleze, uncle wako ana kampuni ya ujenzi kasome engineering.
Kama uko zero na we ndo msomi wa familia basi udaktari ni mzuri kuna vijiwe vya kupiga kahela kwa kula kwa siku, hata engineering pia mf architecture ukimaliza ukawa vizuri vihela vya kulakula utapata.
Kikubwa n kujituma ndugu yangu ajira za sku hizi hazisomeki.
 
Ukweli mchungu ni kwamba kwa sasa hakuna fani yenye ajira moja kwa moja hata huo udaktari, Ila tu kuna course zenye uafadhali pia unaweza kuangalia mazingira yako wapi unaweza kupata nafasi nzuri zaidi ya kuitumikia fani yako, mfano babu yako ana dispensary kasome udaktari,med lab,pharmacy uiendeleze, uncle wako ana kampuni ya ujenzi kasome engineering.
Kama uko zero na we ndo msomi wa familia basi udaktari ni mzuri kuna vijiwe vya kupiga kahela kwa kula kwa siku, hata engineering pia mf architecture ukimaliza ukawa vizuri vihela vya kulakula utapata.
Kikubwa n kujituma ndugu yangu ajira za sku hizi hazisomeki.
hhahahahahahhahah................fact
 
Back
Top Bottom