Mbali na kuikosoa serikali kuhusu Makato; lakini kiukweli Watanzania kwenye kulipa Kodi tuwagumu sana

Kabla ya kuulizia na kusema watu walipe kwanza tengeneza misingi ya watu kupata cha kulipa....

Kama vipi Serikali inaona wabangaizaji hawalipi si watoe ajira za kumwaga ili wakate hiyo PAYE ? Ifike wakati tuone uhalisia wabongo wengi hawana kipato cha kuelekewa na maisha yao yamekuwa ya kubangaiza..., hao so called wafanyabiashara ni wachuuzi na wakulima wetu ni forgotten people
 
Hakuna asiyejua umuhimu wa Kodi,
Kama vile hakuna asiyejua umuhimu wa Zaka na Sadaka lakini binadamu ndio tupo hivyo.

Nimekusoma na nimekuelewa sema wewe ndio huangalii uhalisia
Come on pull your socks dude! Uking'angania tu watu walipe kodi bila kuhakikisha kodi inatozwa kwa haki na inatumika vizuri itakuwa unafanya hicho hicho kina Mwingulu wanachofanya. Wewe hutatui tatuzo bali unazidishi tatizo.
 
Kwema Wakuu!

Kama nilivyoeleza kwenye heading hapo, suala la ulipaji Kodi Kwa sisi Watanzania ni kipengele. Watanzania wengi wetu Kama sio wote hatupendi kulipa Kodi.

Hata wanaolipa Kodi ni kutokana na hawana jinsi mazingira yanawabana tu.

Ila Kama wangeambiwa kwa hiyari yao nakuhakikishia watu wasingelipa kodi.

Watumishi wa Umma kama sio kukatwa juu kwa juu kwenye mishahara Yao na waajiriwa wa sekta binafsi zile kubwa, wangekuwa wanalipwa mikononi mwao kisha wao wenyewe ndio wakalipe Kodi, na kuhakikishia kodi isingelipwa.

Siku ya jana nilikuwa naongea na Mbunge mmoja ambaye ni rafiki yangu sana, akanichekesha mno. Nilipomgusia suala la kukatwa Kodi kwenye mishahara yao, alionyesha kukasirishwa Sana na mpango huo. Hataki kabisa Mshahara wake uguswe, yaani alikuwa mkali Kama mbogo ungedhani Mimi ndiye ninayemkata😃😃😃.

Usishangae Rais halipi Kodi,
Usishangae Mawaziri na wabunge hawalipi Kodi,
Kodi kulipa Kwa Watanzania ni kipengele.

Hata hivyo nafahamu kuna indirect Tax ambazo watu hulipa Kodi, lakini hapa nazungumzia Direct Tax.

Maeneo niliyowahi kuishi, Wafanyabiashara wakisikia TRA au Manispaa wanakuja, utashindwa kushangaa, watu watafunga MADUKA, ofisi na kukaa pembeni wakijifanya sio wakazi wa eneo hilo😃😃😃

Haya ninayoyazungumza wote tunayajua, hakuna asiyejua kuwa Watanzania wengi ni mabingwa waliobobea Kwa kukimbia kulipa Kodi.

Wanaoomba joto ya jiwe ni Wafanyabiashara WA mjini, katikati ya Mji au jiji hawa mazingira hatawaruhusu kuwakimbia TRA Ila vinginevyo, wangekuwa nao wanakimbia tuu.

Kama Watanzania wengi tungekuwa tunapenda kulipa Kodi, nakuhakikishia nchi hii ingekuwa moja ya nchi zilizoendelea.

Kama Watanzania wengi tungekuwa tunapenda kulipa Kodi, nakuhakikishia Wafanyakazi WA TRA wangekuwa na maisha ya kawaida Sana, kwani mishahara yao sio mikubwa kihivyo lakini Rushwa ndio inawafanya watambe hapa mjini.

Ukitaka kuwabana Watanzania wengi yaani wengi walipe Kodi basi hakikisha unawabana kwenye Maeneo yanayotumiwa na wengi na walipe indirect way.

Kwa mfano, kwenye MIAMALA ya simu, vocha Kama serikali ilivyofanya,
Sema serikali iangalie kwenye Kodi zenyewe wazikatazo waweke walau nafuu sio haya makato nyonyaji,

Masuala ya Luku waongeze, Masuala ya Bill ya maji waongeze,

Lengo sio kuwakomoa Watanzania Bali kuwafanya walipe Kodi, maana Kwa njia ya kawaida serikali imethibitisha haiwezi kulipisha Watanzania Kodi.

Na Watanzania wengi tumethibitisha hatuwezi kulipa Kodi Kwa hiyari yetu pasipo nguvu.

Nawasilisha, mwenye hoja karibu, na wenye povu pia Ruksa

Taikon wa Fasihi
Ruaha, Iringa


Nonsense
 
Hizo nchi nyingine wamefanyaje kuondoa hiyo asili ya binadamu kuwa mgumu kutoa? Kwa nini na sisi tusijifunze kutoka kwao?
Asili ya kuwa mgumu kutoa inatokana na ahueni ya maisha! Ifikie mahali hela zako unazotafuta uwe unaziona maana huduma za kijamii zipo free sababu ya kodi inayokusanywa imefikia maturity!
 
Kwema Wakuu!

Kama nilivyoeleza kwenye heading hapo, suala la ulipaji Kodi Kwa sisi Watanzania ni kipengele. Watanzania wengi wetu Kama sio wote hatupendi kulipa Kodi.

Hata wanaolipa Kodi ni kutokana na hawana jinsi mazingira yanawabana tu.

Ila Kama wangeambiwa kwa hiyari yao nakuhakikishia watu wasingelipa kodi.

Watumishi wa Umma kama sio kukatwa juu kwa juu kwenye mishahara Yao na waajiriwa wa sekta binafsi zile kubwa, wangekuwa wanalipwa mikononi mwao kisha wao wenyewe ndio wakalipe Kodi, na kuhakikishia kodi isingelipwa.

Siku ya jana nilikuwa naongea na Mbunge mmoja ambaye ni rafiki yangu sana, akanichekesha mno. Nilipomgusia suala la kukatwa Kodi kwenye mishahara yao, alionyesha kukasirishwa Sana na mpango huo. Hataki kabisa Mshahara wake uguswe, yaani alikuwa mkali Kama mbogo ungedhani Mimi ndiye ninayemkata.

Usishangae Rais halipi Kodi,
Usishangae Mawaziri na wabunge hawalipi Kodi,
Kodi kulipa Kwa Watanzania ni kipengele.

Hata hivyo nafahamu kuna indirect Tax ambazo watu hulipa Kodi, lakini hapa nazungumzia Direct Tax.

Maeneo niliyowahi kuishi, Wafanyabiashara wakisikia TRA au Manispaa wanakuja, utashindwa kushangaa, watu watafunga MADUKA, ofisi na kukaa pembeni wakijifanya sio wakazi wa eneo hilo

Haya ninayoyazungumza wote tunayajua, hakuna asiyejua kuwa Watanzania wengi ni mabingwa waliobobea Kwa kukimbia kulipa Kodi.

Wanaoomba joto ya jiwe ni Wafanyabiashara WA mjini, katikati ya Mji au jiji hawa mazingira hatawaruhusu kuwakimbia TRA Ila vinginevyo, wangekuwa nao wanakimbia tuu.

Kama Watanzania wengi tungekuwa tunapenda kulipa Kodi, nakuhakikishia nchi hii ingekuwa moja ya nchi zilizoendelea.

Kama Watanzania wengi tungekuwa tunapenda kulipa Kodi, nakuhakikishia Wafanyakazi WA TRA wangekuwa na maisha ya kawaida Sana, kwani mishahara yao sio mikubwa kihivyo lakini Rushwa ndio inawafanya watambe hapa mjini.

Ukitaka kuwabana Watanzania wengi yaani wengi walipe Kodi basi hakikisha unawabana kwenye Maeneo yanayotumiwa na wengi na walipe indirect way.

Kwa mfano, kwenye MIAMALA ya simu, vocha Kama serikali ilivyofanya,
Sema serikali iangalie kwenye Kodi zenyewe wazikatazo waweke walau nafuu sio haya makato nyonyaji,

Masuala ya Luku waongeze, Masuala ya Bill ya maji waongeze,

Lengo sio kuwakomoa Watanzania Bali kuwafanya walipe Kodi, maana Kwa njia ya kawaida serikali imethibitisha haiwezi kulipisha Watanzania Kodi.

Na Watanzania wengi tumethibitisha hatuwezi kulipa Kodi Kwa hiyari yetu pasipo nguvu.

Nawasilisha, mwenye hoja karibu, na wenye povu pia Ruksa

Taikon wa Fasihi
Ruaha, Iringa
Kodi zinazokusanywa zinafanya nini zaidi ya kuwanufaisha viongozi. Unajisikiaje kiongozi anapita na v8 alafu wewe unatembe kwa mguu?

Unajisikiaje kiongozi anasomesha mtoto feza alafu wako anasoma kayumba?

Unajisikiaje mbunge analamba mil kadhaa + posho alafu hatimizi wajibu wake?

Unajisikiaje kila siku issue za ufisadi alafu bado tunalia na maji mpaka leo?

Unajikisiaje wastaafu wanajengewe nyumba alafu hatuna madarasa?

Unajisikiaje kuna sanamu linajengwa kwa mil kadhaa alafu hatuna maabara mashuleni?

Unajisikiaje siku ya kuzaliwa mstaafu anazawadiwa gari ya mil kadhaa alafu watoto wanakaa chini shuleni.?

Shida sio kutoa kodi
Shida ni hizo kodi zinasimamiwaje? Zinaelekezwa kule kunakohitajika au kuna wahuni wanajinufaisha huku wakiacha wananchi kwenye hali ngumu za maisha..

Hata ungekua wewe usingekua na moyo wa kutoa hizo kodi.

Alafu mbali na yote, kodi zenyewe sio rafiki. Unakataje tozo yote ile kwenye hela iliyolipiwa kodi?

Ina maana hawajui kuwa mbali na maendeleo ya nchi kuna maendeleo ya mtu mmoja mmoja? Wananchi wanajikongoja na uchumi wa mtu mmoja mmoja bado mnawanyang'anya hicho hicho kidogo walichonacho kwa kisingizio cha kusema hawataki kulipa kodi.

Hivyo vichwa vyenu vinamatatizo
 
Kodi ingelipwa kikamilifu Kama Wabunge wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa na mawazir wangekuwa ndo mfano wa kulipa Kodi
 
Kwema Wakuu!

Kama nilivyoeleza kwenye heading hapo, suala la ulipaji Kodi Kwa sisi Watanzania ni kipengele. Watanzania wengi wetu Kama sio wote hatupendi kulipa Kodi.

Hata wanaolipa Kodi ni kutokana na hawana jinsi mazingira yanawabana tu.

Ila Kama wangeambiwa kwa hiyari yao nakuhakikishia watu wasingelipa kodi.

Watumishi wa Umma kama sio kukatwa juu kwa juu kwenye mishahara Yao na waajiriwa wa sekta binafsi zile kubwa, wangekuwa wanalipwa mikononi mwao kisha wao wenyewe ndio wakalipe Kodi, na kuhakikishia kodi isingelipwa.

Siku ya jana nilikuwa naongea na Mbunge mmoja ambaye ni rafiki yangu sana, akanichekesha mno. Nilipomgusia suala la kukatwa Kodi kwenye mishahara yao, alionyesha kukasirishwa Sana na mpango huo. Hataki kabisa Mshahara wake uguswe, yaani alikuwa mkali Kama mbogo ungedhani Mimi ndiye ninayemkata😃😃😃.

Usishangae Rais halipi Kodi,
Usishangae Mawaziri na wabunge hawalipi Kodi,
Kodi kulipa Kwa Watanzania ni kipengele.

Hata hivyo nafahamu kuna indirect Tax ambazo watu hulipa Kodi, lakini hapa nazungumzia Direct Tax.

Maeneo niliyowahi kuishi, Wafanyabiashara wakisikia TRA au Manispaa wanakuja, utashindwa kushangaa, watu watafunga MADUKA, ofisi na kukaa pembeni wakijifanya sio wakazi wa eneo hilo😃😃😃

Haya ninayoyazungumza wote tunayajua, hakuna asiyejua kuwa Watanzania wengi ni mabingwa waliobobea Kwa kukimbia kulipa Kodi.

Wanaoomba joto ya jiwe ni Wafanyabiashara WA mjini, katikati ya Mji au jiji hawa mazingira hatawaruhusu kuwakimbia TRA Ila vinginevyo, wangekuwa nao wanakimbia tuu.

Kama Watanzania wengi tungekuwa tunapenda kulipa Kodi, nakuhakikishia nchi hii ingekuwa moja ya nchi zilizoendelea.

Kama Watanzania wengi tungekuwa tunapenda kulipa Kodi, nakuhakikishia Wafanyakazi WA TRA wangekuwa na maisha ya kawaida Sana, kwani mishahara yao sio mikubwa kihivyo lakini Rushwa ndio inawafanya watambe hapa mjini.

Ukitaka kuwabana Watanzania wengi yaani wengi walipe Kodi basi hakikisha unawabana kwenye Maeneo yanayotumiwa na wengi na walipe indirect way.

Kwa mfano, kwenye MIAMALA ya simu, vocha Kama serikali ilivyofanya,
Sema serikali iangalie kwenye Kodi zenyewe wazikatazo waweke walau nafuu sio haya makato nyonyaji,

Masuala ya Luku waongeze, Masuala ya Bill ya maji waongeze,

Lengo sio kuwakomoa Watanzania Bali kuwafanya walipe Kodi, maana Kwa njia ya kawaida serikali imethibitisha haiwezi kulipisha Watanzania Kodi.

Na Watanzania wengi tumethibitisha hatuwezi kulipa Kodi Kwa hiyari yetu pasipo nguvu.

Nawasilisha, mwenye hoja karibu, na wenye povu pia Ruksa

Taikon wa Fasihi
Ruaha, Iringa
Ugumu wa kulipa kodi si kwa Watanzania pekee. Ni kila mtu au taasisi duniani pale ianpowezekena inatafuta upenyo wa kukwepa kulipa kodi.

Kawaulize US jinsi Trump anavyoruka viunzi vya ulipaji kodi.

It's a global phenomenon.
 
Viongozi wenye mishahara mikubwa hawalipi kodi, sisi maisha ya chini tunalipa kodi, kodi yetu hiyo hiyo ndio tena inalipa marupu rupu ya hao viongozi.... ndio maana hatupendi kulipa.
 
Ukisema Tanzanja wagumu sana unalinganisha na wapi au unatumia kipimo gani kama rejea?

Sio lazima nilinganishe,
Come on pull your socks dude! Uking'angania tu watu walipe kodi bila kuhakikisha kodi inatozwa kwa haki na inatumika vizuri itakuwa unafanya hicho hicho kina Mwingulu wanachofanya. Wewe hutatui tatuzo bali unazidishi tatizo.
Ugumu wa kulipa kodi si kwa Watanzania pekee. Ni kila mtu au taasisi duniani pale ianpowezekena inatafuta upenyo wa kukwepa kulipa kodi.

Kawaulize US jinsi Trump anavyoruka viunzi vya ulipaji kodi.

It's a global phenomenon.

😃😃😃😃
 
Hivi nikuulize, hapo Ruaha ulipo, kuna nyumba ngapi za kupangisha? Dar zipo ngapi? Hivi kwa nini mpaka sasa hakuna kodi ya wenye nyumba? Na ninaamini kama wangewekewa kodi, hakuna ambaye angelalamika. Ni kodi itatozwa kwenye mapato yao. Siyo hii ya miamala ambayo inatozwa kwenye huduma, siyo mapato.

Zipo kodi zinazoumiza. Na hii ya miamala ni mfano. Tayari kuna tozo, tunatozwa tozo juu ya tozo. Huku wanaacha fursa tele za kutoza kodi ambazo zisingeumiza watanzania. Hiyo ndiyo hoja. Kusema tu kwamba watanzania hawapendi kulipa kodi, hujawatendea haki. Hizo ni kauli za kibwanyenye.
Wameleta hiyo ya kulipia kupitia luku
 
Back
Top Bottom