Carnivora
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,651
- 5,986
Hakuna mwenye pesa anajenga Mbagala? Hivi hawa wanaonunua nyumba na kufutua maghorofa pale Mbagala ni masikini?Ndio maana akasema mtu unapesa unajengaje nyumba ya kifahari mbagala?. Msipindishe maada, yeye kaongelea watu wenye pesa suala la kusema kipato cha chini hao hajawaongelea.
Mbagala gani kwanza unaizungumzia hapa.