Si mlisema anaupiga mwingi?Toka saa 4 kamili usiku umeme umekatika, wananchi wa Mbagala tupo gizani na ni muda wa kukabwa. Huyu waziri ana faida gani kwetu? Nikisema mnaona mm namchukia.
Makamba ni overrated.Toka saa 4 kamili usiku umeme umekatika, wananchi wa Mbagala tupo gizani na ni muda wa kukabwa. Huyu waziri ana faida gani kwetu? Nikisema mnaona mm namchukia.
Acha aupige mwingi akili ziwaingie watuSi mlisema anaupiga mwingi?
Makamba ndio yuko kwenye mitambo ya Tanesco? Je, kama mnafanya kusudi kukata Ili mje kuanzisha thread jukwaani kwa sababu za chuki zenu tuwasaidiaje?Toka saa 4 kamili usiku umeme umekatika, wananchi wa Mbagala tupo gizani na ni muda wa kukabwa. Huyu waziri ana faida gani kwetu? Nikisema mnaona mm namchukia.
Hii nchi inahitaji moyo mgumu usiokata tamaa la sivyo utaugua sononaToka saa 4 kamili usiku umeme umekatika, wananchi wa Mbagala tupo gizani na ni muda wa kukabwa. Huyu waziri ana faida gani kwetu? Nikisema mnaona mm namchukia.
Wapuuzi jamaa, kuongoza waTZ ni shida, wajinga wengi sana and wanapenda kudanganywa na cheap politics za majukwaani, tangu lini suala la kukatika umeme likawa la Waziri? Waziri siyo mtendaji wa wizara Bali ni msimamia seraMakamba ndio yuko kwenye mitambo ya Tanesco? Je kama mnafanya kusudi kukata Ili mje kuanzisha thread jukwaani kwa sababu za chuki zenu tuwasaidiaje?
Acha ujinga ni lini umeme ulikoma kukatika nchi hii?
Ulikuwa hujui mwanangu!Toka saa 4 kamili usiku umeme umekatika, wananchi wa Mbagala tupo gizani na ni muda wa kukabwa. Huyu waziri ana faida gani kwetu? Nikisema mnaona mm namchukia.
Team praise!Kwamba Leo ndio umeona umeme umekatika tangu uzaliwe? Acheni upopoma
Wewe,Toka saa 4 kamili usiku umeme umekatika, wananchi wa Mbagala tupo gizani na ni muda wa kukabwa. Huyu waziri ana faida gani kwetu? Nikisema mnaona mm namchukia.
Umeme umekatika mtaani kwako tu, mbona maeneo mengi ulikuwepo, Charambe, Kibondemaji, Kwambiku, acha hizo kama unatatizo na Makamba usituhusishe wengine kutumia kigezo cha umeme, Tanesco ndio wahusika wakuu wa umeme na Makamba si waziri wa umeme.Toka saa 4 kamili usiku umeme umekatika, wananchi wa Mbagala tupo gizani na ni muda wa kukabwa. Huyu waziri ana faida gani kwetu? Nikisema mnaona mm namchukia.