Mbabe wa mange kapatikana Mr konk konk konk master

moah

Member
Oct 2, 2018
58
59
Nimekuwa nikifuatilia huu mdahalo wa mange kimambi na dudubaya lakini nilichokiona ni kwamba mange kaishiwa points Mr konk anapangua Kama Ana bullet proof yaan hyu binti Leo kapata mpinzani
Nilichogundua dudubaya ameshajichokea anajiita oil chafu he doesn't care anything kwahyo mange kubishana na mtu Kama dudubaya round katoka kapa jamaa anajibu mashambulizi kwa madaha konk konk konk konk master...in dudubaya voice
 
Mh mkuu ingia kwa mange amefukua makaburi huko .kifupi dudubaya hawezi kupinga ushoga wake kwa ushaidi uliopo, video ya mke wake analalamika kumlazimisha kumpa Tigo (ya 2014) so si yakumzushia ni video ya miaka minne iliyopita, pia kapita na bilal shoga maarufu dar nzima na yupo kwenye account ya bilal wanakula good time bar na shoga pombe mezani what next wakishalewa ???
 
Nimekuwa nikifuatilia huu mdahalo wa mange kimambi na dudubaya lakini nilichokiona ni kwamba mange kaishiwa points Mr konk anapangua Kama Ana bullet proof yaan hyu binti Leo kapata mpinzani
Nilichogundua dudubaya ameshajichokea anajiita oil chafu he doesn't care anything kwahyo mange kubishana na mtu Kama dudubaya round katoka kapa jamaa anajibu mashambulizi kwa madaha konk konk konk konk master...in dudubaya voice
Dudu baya ni shoga usimtetee kabisa.aliowataja pia wengi ni kweli hakudanganya ila nae ni shoga
 
Mh mkuu ingia kwa mange amefukua makaburi huko .kifupi dudubaya hawezi kupinga ushoga wake kwa ushaidi uliopo, video ya mke wake analalamika kumlazimisha kumpa Tigo (ya 2014) so si yakumzushia ni video ya miaka minne iliyopita, pia kapita na bilal shoga maarufu dar nzima na yupo kwenye account ya bilal wanakula good time bar na shoga pombe mezani what next wakishalewa ???
Wakishalewa si kila mtu anasepa,dhana ya kwenda wote kitandani umeitoa wapi
 
Hivi nyie story ya sodoma na gomora hamuijui? Ushoga upo na utaendelea kuwepo coz Ni human interest
 
Hii ishu ina mkono wa wamagharibi na ipo strategry kuenezwa dunia nzima. Skendo Kama hiz ndo zjnakuza awareness ya ushoga ndo Mana mpaka Sasa mm na wewe tunadiscuss hi ishu
na kuna watu watatamani waonje/wajatibu hatimae wananigewa wanakuwa mapunga!
 
Hii ishu ina mkono wa wamagharibi na ipo strategry kuenezwa dunia nzima. Skendo Kama hiz ndo zjnakuza awareness ya ushoga ndo Mana mpaka Sasa mm na wewe tunadiscuss hi ishu
Hii vita sio ndogo.Hata umagharibi usingeusika.huu mchezo ikumbukwe umeanza zaman toka sodoma na gomora.Mungu aliamua kuutokomeza ule mji kwa moto na bado hiyo tabia haikukoma.
Je leo tutaiweza sisi viumbe dhaifu????
Wachache wanaojulika ni wale walio adapt tabia za kike.Je wale ma gentlemen wanaofanya kwa siri tutawagunduaje???Na hii biashara ya kutajana majina wengine wanaweza kuwazushia wabaya wao tokana na chuki binafs kuchafuliana majina...

Hili ni swala gumu kuliko maelezo....
 
Back
Top Bottom