Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,715
Hahahahahah kompressor ya 2003 ileLabda ungeichapa Kompresor ya mabua au dereva angekuwa Hamisa mobeto 😀😀😀
Hahahahahah kompressor ya 2003 ileLabda ungeichapa Kompresor ya mabua au dereva angekuwa Hamisa mobeto 😀😀😀
sasa hivi naona Benz hawazitoi, kwa ajiri ya usafi wa mazingira 😀😀😀Hahahahahah kompressor ya 2003 ile
Eeh wameamua kutulia😅sasa hivi naona Benz hawazitoi, kwa ajiri ya usafi wa mazingira 😀😀😀
Ndio wakalte zile CGI badala ya hizi Kompresor.. ila Benz sidhani kama zinamkaba BMW kwa mwendo labda kwa baadhi ya benzEeh wameamua kutulia😅
Labda muwe mnapita mapori ya kamsamba huko.Ndio maana nilitangulia kusema kama ishu ni nani awahi kufika basi mjue tu kinachomata ni dereva! Mara nyingi barabara ambazo mjerumani atatamba ni ambazo hazina mazonge yani njia iwe mnyooko tu wa hatari ila ukabidhiwe LC300 VX-R 410HP halafu sijui mwengine ana BMW X5 kwa njia zetu za bongo kipigo kinaweza kikahusika vyema tu.
Sababu under traffic conditions za kibongo ambaye mzoefu zaidi wa barabara atatangulia hata kama ana GX110 tu
Mie mwenyewe hunichapi kizembe yani nikiwa na mashine inayoeleweka! Yani uwe na 2GR halafu 300HP plus kuna gari gani itakusumbua hapo highway! Ukiupata mnyooko wa bagamoyo tu ni maangamizi yani una weave ile kiroho mbaya dakk 0 umechomeka na kurudi site yako! Yani nikifloor pedal rpm 7 ikivuta ikaachia mzee niko gari ya 3 mbele dkk 0 tu!
Na BMW wametoa M5 CS Comp limited edition.GT-R anavishwa shela
mapema tu kwa hiyo Porsche
Hivi ujasiri wa kukimbiza mjini mnautoa wapi?Ningemnyoosha sema mazingira hayakuwa conducive kwangu! Mandela road huwa ndio sehem ya kuoneshana makali hasa ikifika mida ya saa 4 hivi panakuwa peupe sana kuanzia kijazi mpaka mataa ya relini ni moto tu! Hamna BMW,Nissan wala Audi ni kichapo tu
Napenda magari mazito, hata ukiwa unatembea nalo unasikia kitu kimeshika hasa hasa chiniNa BMW wametoa M5 CS Comp limited edition.
Same power ila uzito umepunguzwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mazingira yenyewe mkeka wa mandela road unakuwaga msafi sana kuanzia ngoma 4-5 hapo trafic lights zinaenda sleep mode!Hivi ujasiri wa kukimbiza mjini mnautoa wapi?
Hata unipite na 200 sihangaiki na wewe. Ila kama tunasafiri kwenda mf arusha, nikishapita ile round about ya bagamoyo. Nakupelekea moto labda uwe na gari imenizidi uwezo. Nakuwa mpole, nakufuata nyuma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahah mjerumani ana balaa ila kipigo anakula vizuri tu kama una mashine ya maana! 2GR ijaribu siku ukipata wasaa tena ikiwa na 260kph ndio mwakeLabda muwe mnapita mapori ya kamsamba huko.
Ila kwa hizi barabara tunazopita kila siku? Hiyo BMW inakuacha mbali sana.
Hizo gari zipo barabarani na tunazitumia.
Tena kuna golf kibao huko barabarani zinawachapa tena hazina hata nguvu ya maana ila zinawakalisha.
Kuna wakati nilikuwa nasafiri na Vanguard, naanza kile kijangwa cha same ikanipita benz c180. Ile gari ilinisumbua mpaka tunafika mwanga, pona yangu ilikuwa kwenye matuta, ikipunguza speed ndo naikaribia. Hata nikiwa 170kph huifikii hata kidogo.
Gari za mjerumani msizidharau kiasi hiko. Nina mifano mingi sana ya mabalaa yake hayo magari. Na huwa nasafiri nazo tena za kawaida sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Beamer ameumbwa for fun to drive! Aerodynamics na speed tu za ku burst!Ndio wakalte zile CGI badala ya hizi Kompresor.. ila Benz sidhani kama zinamkaba BMW kwa mwendo labda kwa baadhi ya benz
Volvo XC90 V8 B8444S Engine
Hii engine ilitengenezwa na Yamaha 2005-2010. Ila haipo tena.
Sikia sauti hiyo!
260 kph kwa barabara zipi?Hahahahahahah mjerumani ana balaa ila kipigo anakula vizuri tu kama una mashine ya maana! 2GR ijaribu siku ukipata wasaa tena ikiwa na 260kph ndio mwake
Huzimalizi hizo ila kutungua 180-220 kawaida ukipata mnyooko260 kph kwa barabara zipi?
hata bila mnyooka kama gari ina nguvu ni chap 240Huzimalizi hizo ila kutungua 180-220 kawaida ukipata mnyooko
Noma sanahata bila mnyooka kama gari ina nguvu ni chap 240
😅😅😅 Eti macho madogo!Ufike hiyo speed ukiwa na gari za japan ndo unabip kifo.
Ukiwa na german cars huoni hata umeshafika huko. Gari inakuwa stable, inashika barabara.
Ukigusa kidogo speed ishafika 220 to 240 kph.
Ila usijaribu na hizi gari za macho madogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Matrubo mengi hamna kituMbona sizioni subaru..au zile ni kelele tu