tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 21,500
- 17,725
Mimi tatizo langu lilikuwa sugu, nimekuwa nalo tangu mwaka 1988. Nilitumia kwa muda wa miezi sita ndipo walau nikapata nafuu kidogo. Ila kama wewe tatizo lako sio la muda mrefu nenda kwa Prof Mgonda atalimaliza haraka sana.