Responded HOJA Mazungumzo ya kuhamisha Wananchi wa Sinza yasifanyike kwa mafungu hotelini, tushirikishwe na uwazi uwepo

Responded HOJA Mazungumzo ya kuhamisha Wananchi wa Sinza yasifanyike kwa mafungu hotelini, tushirikishwe na uwazi uwepo

Hoja ya Mdau inayopendekeza maboresho au mabadiliko ndani ya jamii, inayotakiwa kuangakiwa kwa mapana na Mamlaka husika
Yaani waache Magomeni inayopakana na Kariakoo halafu waende uswahilini sinza?
 
Hapa hakuna mnunuzi na muuzaji, bali mwenyeji na mwekezaji.

Hata mwenye nyumba wa sasa atakua ni sehemu ya mradi mpya. Hivyo chukua hii na uongeze uelewa wako.
Kama kuna mwekezaji aonge anataka eneo lenye ukubwa gani? Ramani yake ya eneo husika na huyo mwenyeji, Haki yake ni ipi, sio mtu Yuko gizani?

Pili , nini ikiwa sitaki chukua hiyo uongeze uelewa wako, ndio maana tutarudi kule kule mnunuzi na muuzaji, maana hapa kuna (kupoteza na kupata) hakuna Kiswahili murefu
 
Ujanja kumtafuta mteja faster kumuuzia Kabla hamjakuja kupangiwa bei na sirikali.
 
Watu binafsi waachwe waendeleze maeneo yao, serikali iende maeneo mengine ikayaendeleze nchi kubwa sasa hii.
 
Back
Top Bottom