Mazungumzo ya Kikwete na Obama yalihusu Basketball!

Huyu jamaa inaeleweka kwamba anatako kuuza sura tu, viongozi wetu badala ya kuongelea vitu vyenye tija wanaongelea basketball. Namshauri bwana JK akipata nafasi tena aingiemikataba ya kushirikiana katika technolojia, tuwe na exchange za namna hiyo. Ndugu zangu Afrika tunabaki nyuma kwa sababu ya kuwa nyuma kitechnolojia. Jiuliza hapo nyumbani kwako vifaa unavyotumia ni kipi kimetengenezwa Tanzania, bila shaka hakuna na kama vipo ni vichache. Kwa hiyo mambo ya kupata nafasi ya kuongea na wakubwa tukaishai kuongelea basketball hayawezi kutufikisha popote.

Kama ni misaada tuombe yenye akili ili na wao watuone kwamba tukosensible enough.
 
Are you surprised?

Kikwete is de man himself....hafanani na Tshangrai hata kwa ukakamavu wa fikra.

Sitashangaa kusikia kuwa alikuwa akimuelezea hatua ambazo serikali imefikia ili kuwakabidhi wa-marekani ardhi yetu ya kigamboni, au usishangae kusikia juhudi ambazo serikali ya awamu ya nne imefikia kugawana USD 700mil alizoahidi Bush, thats y Obama akasema "Kikwete is the sexiest leader, who is fame on issues".
 
..hii habari imeniacha hoi bin taaban. yani Raisi wa Tanzania anapata nafasi ya kuwa Raisi wa kwanza toka Afrika kukutana na Obama halafu anaanza kuzungumzia Basketball??





JOKAKUU,
Kwani ni hilo tu Rais wetu aliloongea na Obama?
 
Come on now, i'm not a big fan of JK but this criticism is ridiculous.

When you attend a meeting, before and after the meeting begins do you just sit silently and stare at each other?

Do you have a problem if they also discussed thier family, pets, the weather etc.

This is good healthy talk that helps to build friendships and hence better relationships. It can't all be business.
 
Was the press conference on Saturday 13th Junejustified in the first place, bearing in mind that the president returned to the country some two or three weeks ago?

Sioni stori worth being put in all newpapers, was the zawadis national or personal? if personal really there was no need of such a press conference, na kama insingewekwa magazetini hii thread insingekuwepo we could have gone on with other things.

If national due to the trivality of the souverniors there was also no need of calling a press conference. Vingewekwa mahali panapostahili na kuonyeswa kwa waziri michezo na viongozi wa Basketball Tanzania bila kuathiri ratiba zao za siku hadi siku.
 
..hii habari imeniacha hoi bin taaban. yani Raisi wa Tanzania anapata nafasi ya kuwa Raisi wa kwanza toka Afrika kukutana na Obama halafu anaanza kuzungumzia Basketball??

..anashindwa hata na mhuni Morgan Tsivangarai wa Zimbabwe? hawa wameonana na Obama na kuondoka na pledge ya msaada wa dola millioni kadhaa.

..ujumbe wa Zimbabwe ulikuwa na majadiliano na maofisa wa serikali ya Obama kwa siku nzima, na ku-conclude na mkutano kati ya Obama na Tsivangarai. baada ya hapo wakawa na press conference.

..jisomeeni wenyewe muone alichokwenda kufanya Raisi wetu USA. zaidi tujiulize kama kweli hicho ndicho tulichomtuma kwenda kuzungumzia White House.




Jokakuu,

Unashangaa nini hapa? Unataka rais wetu asiongelee michezo?

Mimi nakushangaa kwanini unashangaa!
 
Miafrika bana...who really cares wameongea nini. Maendeleo yataletwa na Miafrika yenyewe na si Kikwete kaongea nini na Obama. Acheni kuwa wababaikaji mnaboa sasa....
 
wana JF sometimes mh..... kuna issues zinatengezwa matokeo yake watu tunapoteza muda kujadili mambo yasiyo namsingi, wakati kuna very important issues za kubadirishana mawazo...... unapotengeneza topic isiyo na tija sasa kunatofauti gani na huyo unayesema hakwenda ongea mambo ya maana? sasa check ujumbe huo hapo chini.....JF itakuja geuka kijiwe hata tutakapo kuwa tunaongea ya manufaa tutapuuzwa, kumbuka kisa cha mbwa mwitu...Seheme kama hizi ni kama kioo kwa serikali na wanayasoma haya, let them see facts otherwise itakuwa JF ya akiza Zero na Com. Kipepe

THE WHITE HOUSE
Office of the Press Secretary
_________________________________________________________________
FOR IMMEDIATE RELEASE May 21, 2009

Readout on President Obama's Meeting with President Kikwete of Tanzania

The President and President Kikwete met this afternoon and had a valuable discussion on a range of issues. President Obama expressed his appreciation for the close bilateral relationship the United States shares with Tanzania. President Kikwete and the President exchanged views on approaches to enhancing the U.S.–Tanzanian partnership, improving development policy in the fields of health, education, and agriculture, and working with other partners in the region to solve some of the most pressing conflicts on the African continent. President Obama and President Kikwete expressed a desire to work together to solve common problems in the future. This was the first African Head of State to visit President Obama at the White House.
 
care4all,

..hii habari siyo yangu. imeanzishwa na watu wa Ikulu and i am just quoting frm them.

..OK, turudi kwenye mambo ya msingi basi.

..unaweza kutuambia mazungumzo ya Raisi White House yalichukua muda gani.

..pia fedha kiasi gani zilitumika kugharimia safari ya Raisi USA. kumbuka hii ni kama safari ya 6 au 7 Raisi kutembelea Marekani, na bado tunaambiwa atakwenda huko mwezi wa 9.

..hebu linganisha safari ya Kikwete na ya Tsivangarai. ujumbe wa Zimbabwe spent the entire day kufanya majadaliano na maofisa wa USA kuhusu mashirikiano ya nchi zao. baada ya hapo kukawa na mkutano wa Obama na Tsivangarai. mwisho wakawa na joint press conference, na Obama kutoa pledge ya msaada wa mamilioni ya dola mbele ya waandishi wa habari.

..Raisi anadai alitembelea Google na Cisco akaahidiwa misaada. je, ni muda gani aliutumia katika kujadili msaada unaohitajika toka makampuni hayo? je aliandamana na wataalamu wangapi wa ICT ktk ziara yake? je hao aliokutana nao kweli ni watu wenye uzito wowote ktk maamuzi ya makampuni hayo? ni wapi umeona wakisaini mkataba[MOU] wa kupewa msaada na makampuni hayo?

..sikatai Raisi wetu kufanya ziara za nje, ila lazima tusisitize kwamba at least awe na uwezo wa kuonyesha manufaa ya ziara zake za nje.

..so far si Raisi wala wasaidizi wake walioweza kutuhakikishia manufaa ya ziara hii. badala yake wamebaki kutuyeyusha tu na hizo jezi na mipira ya basketball.
 
wana JF sometimes mh..... kuna issues zinatengezwa matokeo yake watu tunapoteza muda kujadili mambo yasiyo namsingi, wakati kuna very important issues za kubadirishana mawazo...... unapotengeneza topic isiyo na tija sasa kunatofauti gani na huyo unayesema hakwenda ongea mambo ya maana? sasa check ujumbe huo hapo chini.....JF itakuja geuka kijiwe hata tutakapo kuwa tunaongea ya manufaa tutapuuzwa, kumbuka kisa cha mbwa mwitu...Seheme kama hizi ni kama kioo kwa serikali na wanayasoma haya, let them see facts otherwise itakuwa JF ya akiza Zero na Com. Kipepe

THE WHITE HOUSE
Office of the Press Secretary
_________________________________________________________________
FOR IMMEDIATE RELEASE May 21, 2009

Readout on President Obama’s Meeting with President Kikwete of Tanzania

The President and President Kikwete met this afternoon and had a valuable discussion on a range of issues. President Obama expressed his appreciation for the close bilateral relationship the United States shares with Tanzania. President Kikwete and the President exchanged views on approaches to enhancing the U.S.–Tanzanian partnership, improving development policy in the fields of health, education, and agriculture, and working with other partners in the region to solve some of the most pressing conflicts on the African continent. President Obama and President Kikwete expressed a desire to work together to solve common problems in the future. This was the first African Head of State to visit President Obama at the White House.

Nani anaamua habari ipi ina tija na ipi haina? kwa misingi gani? Iliyokubaliwa na kikao gani?
 
Bluray,

..yaani all they have to show frm the Presidents trip ni hiyo statement ya white house, chicago bulls uniforms, na mpira uliosainiwa na third rate basketball players.
 
Bluray,

..yaani all they have to show frm the Presidents trip ni hiyo statement ya white house, chicago bulls uniforms, na mpira uliosainiwa na third rate basketball players.

Ulitaka waonyeshe nini? Misaada aliyopewa?
 
JamiiForums inashuka status sasa! I am kind of worried! Nadhani hii hoja ni substandard hapa! Inajulikana sana kwamba zawadi anazotoa Obama kwa viongozi ni za aina gani. Kumbukeni kwamba alimzawadia Malkia I-pod. Kwa hiyo kumzawadia Kiwete basketball na Jersey na kuzungumza with a light touch kuhusu hiyo zawadi is very minor issue here! JF turudini tulikotoka jamani!
 
labda hii ilikuwa sehemu ndogo ya maongezi yao.sidhani kama yale makaratasi aliokuwa anamsomea obama yalikuwa kuhusu basketball peke yake manake yalikuwa mengi.

sure ila si unajua waandishi? hayo ya basket i hope yalikuwa mazungumzo baada ya habari
 
Jamani nyieeee..
Mbona Membe karibia anaitisha press conf kuelezea faida za uvascodagama wa mkuu wa kaya? Hiyo ni faida sana kwani vijana wetu watacheza boli hivyo watakuwa shupavu kufanya kazi na kujiletea maendeleo, lol!
 
..sasa Kikwete amekwenda White House kaondoka na mapicha ya wachezaji wa Chicago Bulls.

..Morgan Tsivangarai ameingia White House kaondoka na ahadi ya msaada, na pia amepewe heshima ya kuwa na press conference.

..hivi hamuoni kwamba hii ziara ya Kikwete ina walakini, na inawezekana haina tija yoyote?


Mkuu japo nimeichelewa hii post, lakini nakumbuka kuna siku tulipokuwa tunajadili hapa kijiweni kuhusu ziara hizi za muungwana, tuliona kuwa hazina tija yoyote, kama zina tija basi ni very un-tangible. Kama ametembelea karibu nchi zote kwa kuomba misaada sidhani basi tungekuwa tumemwagiwa mamisaada, na saa hizi tungekuwa mbali sana. Gharama za safari za ujumbe wa rais na return yake inaonekana kama hazina uwiano, lakini hakuna kinachofanyika.
 
JamiiForums inashuka status sasa! I am kind of worried! Nadhani hii hoja ni substandard hapa! Inajulikana sana kwamba zawadi anazotoa Obama kwa viongozi ni za aina gani. Kumbukeni kwamba alimzawadia Malkia I-pod. Kwa hiyo kumzawadia Kiwete basketball na Jersey na kuzungumza with a light touch kuhusu hiyo zawadi is very minor issue here! JF turudini tulikotoka jamani!



My sentiments too!!
If we can believe this is what transpired, halafu tukaijadili, jamanai basi tunaweza amini kitu chochote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom