Mazungumzo kati ya Serikali na Madaktari yakwama

waraka ilitoka Feb 2012 kwamba Drz walipwe 20000 as call allowance, leo ni mwei wa tano hakuna aliyelipwa 20000. Tunashindwa kuelewa serikali inamdanganya nani. Kuleta usanii kwenye maisha ya watu NO. Madaktari watapata hakizao endapo watapata uungwaji mkono kutoka kwa watanzania wote, wagonjwa na wenye afya. Inauma kumuhudumia mgonjwa wa BIMA green card alafu mtoa huduma hana green card, kwani hili nalo mpaka budget?
 
kwa mujibu wa udates nilizo nazo ni kuwa idadi ya madaktari waajiriwa wa serikali ni 2250.
 
Nilivyosikia ni kuwa serikali imekubali nyongeza ya mishahara kwa madaktari na daktari anayeanza atalipwa mil 1.9 take home, ila haiwezi kulipa kwa sasa mpaka budget ijayo, yaani july 2012. Kama ni kweli, nadhani ni suala la kuvumilia hiyo july maana kama mtoto wa mkulima alivyosema mwenyewe, hawawezi kuongeza kwa sasa maana ni katikati ya budget. Labda wanohusika na budget watudokeze hasa watu wa hazina kama hii ni kweli au bla bla,
mkuu,huu usanii wa maneno umeutoa wapi?
 
Back
Top Bottom