Mazungumzo kati ya Rais na Vyama vya siasa , Vyama vyaambiwa vipeleke ajenda zao kwa John Shibuda au kwa Msajili wa Vyama vya siasa Francis Mutungi

Status
Not open for further replies.
Binafsi Mutungi simwamini kabsaaa!
Wakati wa mwendazake, hawa watu (wakuu Wa taasisi na idara za umma kama huyu Mutungi na wengine) walikuwa wanalazimishwa kuvunja sheria kwa matakwa na maslahi ya dikteta Uchwara...

Hawakuwa na jinsi so long as wanalinda vibarua vyao...

Let's hope that, sasa wamefunguliwa toka ktk kifungo hicho. Tunaweza kuwapa "benefit of doubt" kwa kuanza kuwaamini tena though kuna wengine walishaathiriwa na utamaduni mbaya wa mwendazake na inaweza kuwa kazi kweli kubadilika...
 
Wakati wa mwendazake, hawa watu (wakuu Wa taasisi na idara za umma kama huyu Mutungi na wengine) walikuwa wanalazimishwa kuvunja sheria kwa matakwa na maslahi ya dikteta Uchwara...

Hawakuwa na jinsi so long as wanalinda vibarua vyao...

Let's hope that, sasa wamefunguliwa toka ktk kifungo hicho. Tunaweza kuwapa "benefit of doubt" kwa kuanza kuwaamini tena though kuna wengine walishaathiriwa na utamaduni mbaya wa mwendazake na inaweza kuwa kazi kweli kubadilika...
Mhmm! Mtu mzima anapojilipuwa vile. ....kwa elimu yake sikitarajia a behave namna ile. Simwamini kabisa.
 
Kimsingi yanayolalamikiwa yanajulikana kabisa. Bila kuwa na malengo genuine na honest kutoka pande zote mbili ni kupoteza muda tu. Kwa kifupi haya mambo yanataka ukomavu wa kisiasa, kuweka ubinafsi na uchama pembeni bali maslahi ya Taifa yatangulizwe. Upande wa serikali wajue nchi yoyote yenye upinzani imara ni afya kwa Taifa na upinzani ni mdau muhimu sana wa kuendesha nchi na wapinzani waweke matumbo yao pembeni watangulize nchi mbele. Pande zote mbili zikiwa na haya malengo watajikuta kikao kinakuwa productive na hakitahitaji hata watu kama kina Shibuda ambao wanajulikana na wachumia matumbo tu.
Siasa ni ajira,
Mbowe tuko kwenye ajira yake na Samia yuko kwenye ajira yake and everyone thinks he is doing right while the other is doing nonsense.
Sasa kukubali kukutana na vyama vya upinzani tu,itoshe kusema Samia ana moyo wa kweli ktk kuendeleza Tanzania ikiwa na upinzani Imara. Now, hiki kikao hakihitaji jazba, kitahitaji mipango Imara zaidi ili upinzani ugain advantage ktk kufanya siasa zao na chaguzi zao (wakati huo Samia akilooz). So dont expect much, and be ready to fight for that extra you can get. Kwa kifupi wapate chochote ili waingie kwenye siasa yhen waanzishe bifu zito zaidi ili waendelee kugain political advantage. ila wakiishia kususa watapoteza zaidi na zaidi
 
Kama kweli mama kaingiliwa atengue haraka labda kama ikulu inampango kumtengenezea mama kiki ,mwisho wasiku waseme mama kasema waje ikulu sio kwa mutungu ,kwani enzi yakikwete mutungi hakuwepo au ofisi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom