Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Kwa karibu wiki moja sasa nimekuwa nifuatilia kile kipindi maarufu cha enzi zile za ukiritimba wa Chama Kimoja na RTD. Katika muda huo sijasikia kile Kipindi cha enzi na enzi kilichotumiwa na Kina Kingunge Ngombale -Mwiru kuwazodoa na kuwalima Wapinzani wa CCM, Mabeberu, Mafisadi na kuwadanganganya Wa-Tz kwa propaganda za Uongo-na-kweli. Kwa hakika kipindi hicho mara nyingine kilitumika vibaya sana ingawa mara chache kilikuwa kinaburudisha na kuzungumzia mambo ya maana.
Wadau, naomba mwenye uhakika wa kipindi hiki atuahabarishe; kipindi kimekufa au hakuna Mazungumzo mapya baada ya habari?
Wadau, naomba mwenye uhakika wa kipindi hiki atuahabarishe; kipindi kimekufa au hakuna Mazungumzo mapya baada ya habari?