doctors wetu hutwambia tufanye mazoezi ili tuwe na afya njema. Kwani kufanya mazoezi pia kunapunguza uwezekano wa kupata baadh ya maradh...kama kisukari, moyo na mengneyo..
JF Doctors...kivipi mazoez yanamfanya mtu kuwa na afya njema (what physiological processes occur in the body so as to make it health??)
JF Doctors...kivipi mazoez yanamfanya mtu kuwa na afya njema (what physiological processes occur in the body so as to make it health??)