I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,726
- 10,020
Binadamu tunaishi kimazoea sana.
Katika maisha ya kawaida kabisa kuna yale mazoea fulani hivi tu watu huwa tunafanya ingawa ukikaa na kutafakari unaona mmmh.... Hapa ninachofanya sio sawa ila kwa sababu tu umezoea unaona ' aah acha tu nifanye hiki..labda nitakuja kurekebisha baadae.... Au aah mbona fresh tu...!?
Masela wengi kuna hii tabia ya kutotandika kitanda unapoamka asubuhi, hivi nini huwa shida??
Katika maisha ya kawaida kabisa kuna yale mazoea fulani hivi tu watu huwa tunafanya ingawa ukikaa na kutafakari unaona mmmh.... Hapa ninachofanya sio sawa ila kwa sababu tu umezoea unaona ' aah acha tu nifanye hiki..labda nitakuja kurekebisha baadae.... Au aah mbona fresh tu...!?
Masela wengi kuna hii tabia ya kutotandika kitanda unapoamka asubuhi, hivi nini huwa shida??