Maziwa kulala na kuwa makubwa kwa wamama waliozaa

Billie

JF-Expert Member
Aug 13, 2011
12,666
19,674
Ngoja nianze na swali."Kwa nini wasichana wengi wa nchi zinazoendelea wanapoteza 'shape' zao na hata zile za maziwa(breasts) kulala au kuwa makubwa na hata kushindwa kurudia shape yake ya awali kama ilivyo kwa wamama wa nchi endelevu'?
Naomba nisaidiwe nini kinachosababisha ili nimuambie mke wng tuiepuke coz anakachanga changu na kama kuna namna au dawa au chochote kitachorudisha shape nzuri ya maziwa yake ya awali.NITAFURAHI SANA KUPOKEA USHAURI KUTOKA KWA WATAALAM KUTOKA HUMU sio ushauri wa kizushi.
 
Kukua kwa matiti kunachangiwa sana na hormones za mwanamke, ambapo level ya hormones hizo inatofautiana kati ya mwanamke na mwanamke, au wanawake wa eneo fulani na eneo jingine, au wanawake wa race moja na nyingine. Matiti hufikia kilele (peak ) chake cha kukua pale mwanamke anapojifungua na kunyonyehsa. Breast tissue huwa inaongezekwa kiasi kikubwa ili kuweza kuzalisha maziwa ya kutosha kwa mtoto, pia kunakuwa na mwongezeka wa damu kwenye titi ili kupeleka virutubisho vya kutengeneza hayo maziwa, kwa hiyo titi linajaa. Lakini anapoacha kunyonyesha (maziwa yanapoisha) breast tissue inasinyaa na msukumo wa damu unapungua hivyo yanalala mpaka uzao mwingine.

Lakini kama nilivyosema awali, wingi na effect za hormones hizi kwa matiti unatofautiana kati ya mwanamke na mwanamke, kwa hiyo wengine matiti yao yanaathirika sana, na wengine kidogo na wengine hayaathiriki kabisa.
 
Kukua kwa matiti kunachangiwa sana na hormones za mwanamke, ambapo level ya hormones hizo inatofautiana kati ya mwanamke na mwanamke, au wanawake wa eneo fulani na eneo jingine, au wanawake wa race moja na nyingine. Matiti hufikia kilele (peak ) chake cha kukua pale mwanamke anapojifungua na kunyonyehsa. Breast tissue huwa inaongezekwa kiasi kikubwa ili kuweza kuzalisha maziwa ya kutosha kwa mtoto, pia kunakuwa na mwongezeka wa damu kwenye titi ili kupeleka virutubisho vya kutengeneza hayo maziwa, kwa hiyo titi linajaa. Lakini anapoacha kunyonyesha (maziwa yanapoisha) breast tissue inasinyaa na msukumo wa damu unapungua hivyo yanalala mpaka uzao mwingine.

Lakini kama nilivyosema awali, wingi na effect za hormones hizi kwa matiti unatofautiana kati ya mwanamke na mwanamke, kwa hiyo wengine matiti yao yanaathirika sana, na wengine kidogo na wengine hayaathiriki kabisa.

Asante sana doctor ila naomba uniraidie ni namna gani naweza tukayarudisha katika hali ya awali na je kuna dawa au jinsi yeyote inayoweza kutumika ku recover matiti mazuri aliyokuwa nayo.
Kingine ni kuwa kwa nini hili tatizo halionekani nchi zilizoendelea kama U.S.A na kwingineko.JE WANATUMIA NINI?
 
Asante sana doctor ila naomba uniraidie ni namna gani naweza tukayarudisha katika hali ya awali na je kuna dawa au jinsi yeyote inayoweza kutumika ku recover matiti mazuri aliyokuwa nayo.
Kingine ni kuwa kwa nini hili tatizo halionekani nchi zilizoendelea kama U.S.A na kwingineko.JE WANATUMIA NINI?


.......Kama una pesa mfanyie mkeo breast implants baada ya kunyonyesha, Ulaya/USA wanawake walio wengi kwanza hawanyonyeshi watoto.
Na hao wachache wanaonyonyesha wanazaa idadi ya watoto wanaotaka baada ya kumaliza uzazi wanafanya breast implants. Upo hapoooooo!!!!
 
.......Kama una pesa mfanyie mkeo breast implants baada ya kunyonyesha, Ulaya/USA wanawake walio wengi kwanza hawanyonyeshi watoto.
Na hao wachache wanaonyonyesha wanazaa idadi ya watoto wanaotaka baada ya kumaliza uzazi wanafanya breast implants. Upo hapoooooo!!!!

asante kwa ushauri ila inafanywa namna gani na je haiatarishi afya ya mama?
 
Lakini kuna wanawake wamebarikiwaaa!
Kazaa watoto wanne, lakini ukicheki TWIN TOWERS, zimesimama kuliko za BOT, Ukirudi shepu ndo kwaaaanza utadhani hajawahi hata beba mimba.
 
Kukua kwa matiti kunachangiwa sana na hormones za mwanamke, ambapo level ya hormones hizo inatofautiana kati ya mwanamke na mwanamke, au wanawake wa eneo fulani na eneo jingine, au wanawake wa race moja na nyingine. Matiti hufikia kilele (peak ) chake cha kukua pale mwanamke anapojifungua na kunyonyehsa. Breast tissue huwa inaongezekwa kiasi kikubwa ili kuweza kuzalisha maziwa ya kutosha kwa mtoto, pia kunakuwa na mwongezeka wa damu kwenye titi ili kupeleka virutubisho vya kutengeneza hayo maziwa, kwa hiyo titi linajaa. Lakini anapoacha kunyonyesha (maziwa yanapoisha) breast tissue inasinyaa na msukumo wa damu unapungua hivyo yanalala mpaka uzao mwingine.

Lakini kama nilivyosema awali, wingi na effect za hormones hizi kwa matiti unatofautiana kati ya mwanamke na mwanamke, kwa hiyo wengine matiti yao yanaathirika sana, na wengine kidogo na wengine hayaathiriki kabisa.
tHANKS

Pia tukumbike kuna maumbile (could be hormones) where wengine wana nyama laini kiasi kwamba hata small breasts bado zinaweza kuanguka, na pia kuna firm tissues (nyama) ambapo wengine wanakua firmer
 
Asante sana doctor ila naomba uniraidie ni namna gani naweza tukayarudisha katika hali ya awali na je kuna dawa au jinsi yeyote inayoweza kutumika ku recover matiti mazuri aliyokuwa nayo.
Kingine ni kuwa kwa nini hili tatizo halionekani nchi zilizoendelea kama U.S.A na kwingineko.JE WANATUMIA NINI?

Mfumo wa hormone wa mwanamke (na hata wanaume) na pia maumbile huwa yanakuwa tofauti genetically, hivyo ukaona wengine matiti yao yako vile vile, na wengine wakrespond kwa matiti yao kuharibika....Manshivo, I am afraid hakuna dawa ambayo unaweza kumeza ili kurudisha matiti kama yalivyokuwa kabla ya mimba na kunyonyesha.

Unaweza kufanya upasuaji (cosmetic surgery) kuweka implants kama alivyoshauri Pretty...lakini hii procedure inavyofanywa ni kuwa breast tissue yote inatolewa kisha wanaireplace na silicon implants na unachagua mwenyewe how big you want the boobs to be and what shape you like. Kwa kuwa breast tissue yote inakuwa removed, huyo dada hataweza tena kunyonyesha katika maisha yake yote...so kama mnaplan kuzaa tena atleast hold it mpkaka mtakapoamua sasa watoto wanatosha ndio mfanye!
 
Mfumo wa hormone wa mwanamke (na hata wanaume) na pia maumbile huwa yanakuwa tofauti genetically, hivyo ukaona wengine matiti yao yako vile vile, na wengine wakrespond kwa matiti yao kuharibika....Manshivo, I am afraid hakuna dawa ambayo unaweza kumeza ili kurudisha matiti kama yalivyokuwa kabla ya mimba na kunyonyesha.

Unaweza kufanya upasuaji (cosmetic surgery) kuweka implants kama alivyoshauri Pretty...lakini hii procedure inavyofanywa ni kuwa breast tissue yote inatolewa kisha wanaireplace na silicon implants na unachagua mwenyewe how big you want the boobs to be and what shape you like. Kwa kuwa breast tissue yote inakuwa removed, huyo dada hataweza tena kunyonyesha katika maisha yake yote...so kama mnaplan kuzaa tena atleast hold it mpkaka mtakapoamua sasa watoto wanatosha ndio mfanye!

Naipenda jf kwa sababu ya majibu matamu kama haya.ASANTE KWA MARA YA PILI Dr.riwa
 
Pamoja na majibu mazuri naomba nishauri kuwa kumyonyesha mtoto kwa mfululizo siyo tu ni neema kwa mtoto bali hufanya maumbile ya mama yasibadilike kiivyo (Mama hakikisha mtoto ananyonya maziwa ya mama acha maji akiwa na kwikwi sijui nini nyonyesha tu). kwa kuwa Riwa amehasema vizuri chakula kilivyotengenezwa kikitumika chote hakifanyi tissues kukuwa zaidi ya matumizi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom