Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,666
- 19,674
Ngoja nianze na swali."Kwa nini wasichana wengi wa nchi zinazoendelea wanapoteza 'shape' zao na hata zile za maziwa(breasts) kulala au kuwa makubwa na hata kushindwa kurudia shape yake ya awali kama ilivyo kwa wamama wa nchi endelevu'?
Naomba nisaidiwe nini kinachosababisha ili nimuambie mke wng tuiepuke coz anakachanga changu na kama kuna namna au dawa au chochote kitachorudisha shape nzuri ya maziwa yake ya awali.NITAFURAHI SANA KUPOKEA USHAURI KUTOKA KWA WATAALAM KUTOKA HUMU sio ushauri wa kizushi.
Naomba nisaidiwe nini kinachosababisha ili nimuambie mke wng tuiepuke coz anakachanga changu na kama kuna namna au dawa au chochote kitachorudisha shape nzuri ya maziwa yake ya awali.NITAFURAHI SANA KUPOKEA USHAURI KUTOKA KWA WATAALAM KUTOKA HUMU sio ushauri wa kizushi.