Maoni yangu nitayaelekeza kwako Gurudumu. Itambue talanta yako ya uongozi na kuiboresha kwa manufaa yako na ya wengine. Watu wenye fikra za mfano wako ni nadra kuwapata. Shukrani za dhati kwako kwa kuanzisha mwendo. I salute you!
Lazydog
Kwani Chadema hawatembelei hapa janvini leo? Mbona hatupati majibu wala maelekezo?
mm sichangi na niko kinyume kutumia jamiiforums kuchanga kwa watu waliopingana na serikali
ss la kufanya ni kutuma ujumbe mkali na karipio kwa waliosababbisha haya, ambao ni uongozi wa chadema kuwatumia wananchi kwa maslahi yao
Kuna Watanzania wenzetu wenye mapenzi mema na nchi hii ambao wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa na Polisi katika maandamano ya amani huko Arusha. Wengi tuliunga mkono maandamano hayo ila kwa vile tuko mbali na Arusha hatukuweza kuhudhuria hivyo hatukuwa na wenzetu kimwili ila tulikuwa pamoja kimoyo.
Baada ya dhahma ya jana kuna watu waliojeruhiwa ambao kulingana na umasikini tuliowekezewa na serikali ya CCM uwezo wa kujitibu kwao ni mgumu,kwa nini Chadema isianzishe haraka mfuko wa kuwasaidia wahanga wa maandamano hayo kwa utaratibu maalumu ili kuwaonyesha kuwa maumivu waliyopata Chama kinayatambua.
Mfuko huo uwe wazi kuchangiwa na Watanzania wote wenye mapenzi mema na walioguswa na unyama uliofanywa na polisi huko Arusha. Hili nalo litakuwa pigo lingine kwa CCM.
Na hayo mazishi ya hao walio uawa yafanyike kwa heshima zote za Chama na yawe ya kishujaa.
Sio lazima, hatuangalii dini ya mtu, tunaheshimu uzalendo ulioonyeshwa na wenzetu kwa maslahi ya nchi nzimana pengo aongoze mazishi
Sio lazima, hatuangalii dini ya mtu, tunaheshimu uzalendo ulioonyeshwa na wenzetu kwa maslahi ya nchi nzima
For your information, ukienda kwenye FB ya Dr. W. Slaa utaweza kuchuja post uone za Dr. pekee ukipenda.
Bofya "filters"
View attachment 19770