Mazishi ya wanafunzi walio ungua kwa moto katika picha

Fidel80

JF-Expert Member
May 3, 2008
21,947
4,444

Miili ya wanafunzi ikiwa kwenye masanduku ikiwa
imehifadhiwa kwenye chumba maalumu shuleni.


Miili ya wanafunzi ikiwekwa sawa

DSC01566.JPG

Miili ya wanafunzi ikishushwa kwenye Fuso kwenda kuzikwa



Mashimo 12 yaliyo chimbwa kwa ajili ya kuwazika wanafunzi
walio ungua shuleni hapo.


Miili ya wanafunzi ikisogezwa karibu ili kuingiza kwenye nyumba
ya milele.


DSC01648.JPG

Sanduku likishushwa taratiiiibu kwenye shimo.


Mbunge wa Ismani Mh. Lukuvi akiwajibika

DSC01732.JPG

Mh.Lukuvi akiweka shada la maua moja wapo wa makaburi 12


Katibu tawala wa mkoa wa Iringa Gerturude Mpaka akiweka shada katika makaburi ya wanafunzi hao

DSC01727.JPG

Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Prof.Jumanne Maghembe akiweka shada la maua

DSC01721.JPG

Ndugu wa wanafunzi waliokufa moto Idodi wakiweka
shada la maua



Mmoja wa ndugu wa wanafunzi walio ungua kwa moto
akisaidiwa na wasamalia wema.
 

Miili ya wanafunzi ikiwa kwenye masanduku ikiwa
imehifadhiwa kwenye chumba maalumu shuleni.


Miili ya wanafunzi ikiwekwa sawa

DSC01566.JPG

Miili ya wanafunzi ikishushwa kwenye Fuso kwenda kuzikwa



Mashimo 12 yaliyo chimbwa kwa ajili ya kuwazika wanafunzi
walio ungua shuleni hapo.


Miili ya wanafunzi ikisogezwa karibu ili kuingiza kwenye nyumba
ya milele.


DSC01648.JPG

Sanduku likishushwa taratiiiibu kwenye shimo.


Mbunge wa Ismani Mh. Lukuvi akiwajibika

DSC01732.JPG

Mh.Lukuvi akiweka shada la maua moja wapo wa makaburi 12


Katibu tawala wa mkoa wa Iringa Gerturude Mpaka akiweka shada katika makaburi ya wanafunzi hao

DSC01727.JPG

Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Prof.Jumanne Maghembe akiweka shada la maua

DSC01721.JPG

Ndugu wa wanafunzi waliokufa moto Idodi wakiweka
shada la maua



Mmoja wa ndugu wa wanafunzi walio ungua kwa moto
akisaidiwa na wasamalia wema.


inatia uchungu kupitiliza, jamani jamani! poleni sana wafiwa....
 
inatia uchungu kupitiliza, jamani jamani! poleni sana wafiwa....

Yeah shukrani Nyamayao naumia zaidi kuona CCM wametoa 70,000/= mkono wa pole kwa wafiwa sijui watagawana kiasi gani
icon9.gif
 
Inatisha,inasikitisha,Inasonononesha!!!
Poleni sana jamani, wafiwa wote muwe na subira!
Mwenyezi Mungu awarehemu wote waliofariki katika ajali hii.
Amiin.
 
elfu sabini jamani, ina maana CCM mkoa wa Iringa kwenye account wana 70,000 tu, aua hawakuwa wamejiandaa
 
hili tukio limeniuma sana tena kwa kiwango kikubwa hasa nikifikiria waliopoteza maisha na familia zao zilizobaki na majonzi makubwa. MUNGU atusaidie kila siku za maisha yetu kwa kuendelea kutulinda. Nasi tuna jukumu la kumuomba sana atusamehe makosa yetu na kuwalinda watoto na wadogo wetu walioko mashuleni na majanga mabaya ya kimwili na kiroho.

Poleni sana wafiwa Mungu pekee ndie wa kuwapa faraja iliyo kuu na ya kudumu.
 
elfu sabini jamani, ina maana CCM mkoa wa Iringa kwenye account wana 70,000 tu, aua hawakuwa wamejiandaa

Joyceline, CCM ndio serikali jamani haitakiwi kuonyesha udhaifu huu, halafu majanga hayana cha kujiandaani suala la kuwa na viongozi wenye utu tu!
 
Nadhani hii sasa inabidi ifike mahali hata na hawa viongozi wetu waingiwe na moyo wa huruma na kuyaangalia mashule yetu.

Ilipaswa ile ya shauritanga iwe nikama pilot study ya kuona nini kifanyike ili isitokee tena,any way kwakuwa wao ndio wameamua kufanya kama sehemu ya maisha yao ya kuwa mstari wambele pindi linapotokea jambo na baadae kufumba macho dhidi ya kiini cha tatizo siwezi kuwalaumu sana.

Askofu Mtetemela amesema ukweli jana na kama hawa viongozi wetu wanamuogopa Mungu basi nadhani wata amka sasa.

Ni mawazo tu wala msijenge chuki
 
Ewe Mwenyezi mungu zilaze roho za marehemu hawa salama Peponi

Pole ni sana Wafiwa
 
Uuuwi nahisi uchungu sana ndani ya moyo wangu,jana niliumia sana nilipoona picha za mabaki ya miili ya wanafunzi hao sasa leo tena nimeona hizi picha za mazishi nimeumia zaidi.
 
Hivi hakuna wa kuwajibika? mbona kuna wanafunzi wamedai kuwa kuna mtu alitupa petroli ndani na walipokuwa wanataka kutoka akawasukumia ndani? hili linjulikana?
 
Hivi hakuna wa kuwajibika? mbona kuna wanafunzi wamedai kuwa kuna mtu alitupa petroli ndani na walipokuwa wanataka kutoka akawasukumia ndani? hili linjulikana?

Hapo si kweli wamedanganya hao wanafunzi maana shule yenyewe ilikuwa ina vioo alafu na ndono sijui hilo dumu la petroli lingepitia wapi....?
 
Hivi hakuna wa kuwajibika? mbona kuna wanafunzi wamedai kuwa kuna mtu alitupa petroli ndani na walipokuwa wanataka kutoka akawasukumia ndani? hili linjulikana?



Nafikiri huu sio muda wa kumtafuta mchawi, ilobaki tuwaombee hao ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki, na kuwaombea pia ndugu,jamaa na wafiwa wote waweze kustahimili msiba huu mzito!
 
If indeed this is the funeral, and not some cover-up, somebody with the proper responsibility needs to write a letter to The New York Times and BBC demanding a correction of the misinformation they printed that the students were buried in a mass grave. If this information was given erroneously then somebody should be responsible for giving wrong information of such grave nature, no pun intended.

Since the days of Uli Mwambulukutu at Daily News I have not seen our people correcting the variousmisinformation dished out against Tanzania.

Fire in Tanzania Kills 12 Students
By AGENCE FRANCE-PRESSE
DAR ES SALAAM, Tanzania (Agence France-Presse) - At least 12 children died and 20 others were severely burned when a fire razed a dormitory at a secondary school in central Tanzania, the police said Sunday.

"The fire is believed to have started after a net caught fire from a candle and spread throughout the dormitory," Evarist Mangala, the Iringa regional police commissioner, told Agence France-Presse.

He said the police were investigating the fire that struck Idodi Secondary School, about 285 miles southwest of Dar es Salaam, on Saturday evening.

The school has no electricity, Mr. Magala said, and students normally study by candlelight after dark.

The bodies were charred beyond recognition, so the dead will be buried Tuesday in a common grave in the Iringa district, said Mwantumu Mahiza, the deputy education minister.

Mass grave after Tanzania fire
Twelve schoolgirls who died in a fire at a school in Tanzania will be buried in a mass grave because their bodies cannot be identified, officials say.

The education department said the girls would be buried on Tuesday on the school grounds in Idodi, 460km (285 miles) west of Dar es Salaam.

President Jakaya Kikwete is expected to attend the burial.

The fire was apparently started by a candle left burning in a dormitory on Saturday night.

The candle is thought to have set light to a mosquito net and the flames spread through the dormitory.

"It burnt one dormitory completely and 12 students were killed. Another 20 have been injured," local police commander Evarist Mangala told Reuters news agency.

"It looks like it was from a candle lit by a student who was trying to study at night."

Officials said the school - named as the Idodi Secondary School - has no electricity overnight and pupils often use candles to help them study.

Scores of schoolchildren have died in similar incidents in neighbouring Kenya and Uganda in recent years.
 
Inasikitisha, inanikumbusha shauri-tanga, Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi.

B.
 
Back
Top Bottom