Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Miili ya wanafunzi ikiwa kwenye masanduku ikiwa
imehifadhiwa kwenye chumba maalumu shuleni.
Miili ya wanafunzi ikiwekwa sawa
Miili ya wanafunzi ikishushwa kwenye Fuso kwenda kuzikwa
Mashimo 12 yaliyo chimbwa kwa ajili ya kuwazika wanafunzi
walio ungua shuleni hapo.
Miili ya wanafunzi ikisogezwa karibu ili kuingiza kwenye nyumba
ya milele.
Sanduku likishushwa taratiiiibu kwenye shimo.
Mbunge wa Ismani Mh. Lukuvi akiwajibika
Mh.Lukuvi akiweka shada la maua moja wapo wa makaburi 12
Katibu tawala wa mkoa wa Iringa Gerturude Mpaka akiweka shada katika makaburi ya wanafunzi hao
Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi Prof.Jumanne Maghembe akiweka shada la maua
Ndugu wa wanafunzi waliokufa moto Idodi wakiweka
shada la maua
Mmoja wa ndugu wa wanafunzi walio ungua kwa moto
akisaidiwa na wasamalia wema.