pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,083
- 12,403
Habari za weekend wadau,
Mapambano yaendelee hata kama mama anaupiga mwingi.
Jana zilitoka taarifa za kifo cha aliyekuwa raisi wa falme za kiarabu (U.A.E) Sheikh Khalifa bin zayed Al Nahyan baada ya kuugua kwa muda mrefu huku nafasi yake ikichukuliwa na mdogo wake.
Wadau kuna vya kujifunza hapa kwa mtu mkubwa kama yule na cheo alichokuwa nacho ila wamewahi kumzika bila kumchelewesha na wala kaburi lake halijajengewa.
Angalia picha za mazishi yake na kaburi lake hapa chini kwa kweli kuna la kujifunza hapa kumuweka marehemu kwa muda mrefu ni kumtesa na kukaribisha roho ya mauti na mambo yasiyofaa katika jamii.
NB: ni taarifa tu mijadala na mambo yasiyofaa hairuhusiwi kwenye mada hii.
Mapambano yaendelee hata kama mama anaupiga mwingi.
Jana zilitoka taarifa za kifo cha aliyekuwa raisi wa falme za kiarabu (U.A.E) Sheikh Khalifa bin zayed Al Nahyan baada ya kuugua kwa muda mrefu huku nafasi yake ikichukuliwa na mdogo wake.
Wadau kuna vya kujifunza hapa kwa mtu mkubwa kama yule na cheo alichokuwa nacho ila wamewahi kumzika bila kumchelewesha na wala kaburi lake halijajengewa.
Angalia picha za mazishi yake na kaburi lake hapa chini kwa kweli kuna la kujifunza hapa kumuweka marehemu kwa muda mrefu ni kumtesa na kukaribisha roho ya mauti na mambo yasiyofaa katika jamii.
NB: ni taarifa tu mijadala na mambo yasiyofaa hairuhusiwi kwenye mada hii.