Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mauaji ya Januari 2001 kule Zanzibar yalitia doa sana utawala wa MkapaKijana huyo amevutia waombolezaji wengi kwenye mazishi ya Hayati Mkapa kiasi kwamba kila mmoja kutamani kupiga picha naye. Sijafanikiwa kupata jina lake lakini anadaiwa kushika wadhifa wa Udiwani huko Mtwara.
Ikumbukwe Mkapa amehudumu Urais kuanzia mwaka 1995 - 2005 hivyo huenda fulana hiyo ilitengenezwa kati ya 1995 na 2000 wakati wa kampeni za kumnadi Hayati Mkapa.
Je, unahisi fulana hiyo itakuwa na umri gani?