bluetooth
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 4,402
- 2,550
Hizi siasa gani jamani?. Yaani inafikia hatua ya watu kukodi mamluki wa kuvuruga mikutano ya vyama vingine kwa kuwa tu watu hao hawana ajira, hawana kipato na wamelipwa ujira wa chini kabisa wakati wanakuwa subjected to paying of ultimate price (losing life).
Siasa ni uvumilivu kama wewe ngozi yako ni laini jitoe, unajua katika siasa za Tanzania hakuna kijana aliyepo katika siasa leo hii aliyejijengea chuki na dharau toka kwa vijana wenzake kama Mwigulu Nchemba, Nchemba amekuwa na mindset ya backward akili kama za wazee wastaafu wa CCM ambao wanadhani kuwa wao ni bora na wanastahili zaidi ya watanzania wengine. Yaani unamuagiza mwenzako akafanye fujo na kuchochea hasira za watu waliokuwa wametulia katika mkutano wao ili wewe unufaike na madhara yatakayotokana na vurugu hizo?. Ukweli ni kwamba CDM haikuanzia mikutano Ndago, mbona huko kote walipopita hakuuwawa hata sisimizi?.
Nimehuzunika sana na kifo cha Yohana Mpinga kama ndugu yangu wa damu. Yaani tumeishiwa hoja mpaka kufikia kuanza kutumana kwenda kuchokoza watu?, Mimi ninaamini kabisa kuwa kama CDM kingekuwa chama cha vurugu basi kifo cha mwenyekiti wa CDM Arumeru ndugu Msafiri kingeshuhudia viongozi wengi wa CCM wakifuata toka kwa vijana wenye hasira. Lakini busara za CDM za kutuliza vijana wao zimeonekana kana kwamba ni mtaji ambao CCM imeisha upoteza. Matukio ya Maswa wakati wa uchaguzi wa 2010, Igunga na Arumeru yamedhihirisha kuwa CCM inajigeuza kuwa militant party.
Nina hakika kabisa kama polisi wangekuwa impartial kwenye kuteleza majukumu yao yaani hakuna kulinda mtu yeyote awe wa CCM au wa wapi basi kifo cha Yohana na wengine wengi vinge epukika.
I hate Mwigulu Nchemba's mind set of exploiting the poor for their political gain.
@Hoftsede ... dah .. you have said it all ... thanks my bro
let me rest now