Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ningekuwa mzazi wa huyo kijana ningewashitaki CCM na hasa aliyewatuma hao vijana wakalete vurugu.Mwigulu anashuhudia unyama wake, mnafiki kama nini! Damu hii itamuwakia mwigulu!
Nadhani unahitaji kufikiria kwa mapana zaidi juu ya kutokuwepo viongozi wa cdm. Hivi ccm walimtuma nani kuwawakilisha ktk mazishi ya mkiti wa chadema kule Arumeru? unatakiwe ujue nature ya kifo chake ndo inayofanya yote hayo yafanyike.Mazishi ya marehemu Yohana mpinga aliyeuawa na vijana wanaodaiwa kuwa wafuasi wa CHADEMA yanafanyika hivi punde katika kitongoji cha Kibaya kijiji cha Songambele kata ya Ndago wilaya ya Iramba.
Mkuu wa mkoa, naibu katibu mkuu CCM tanzania bara john Chiligati na mbunge wa Iramba Mwigulu Nchemba na wanaCCM wengi wamejitokeza.
Watu ni wengi sana.
Waombolezaji wanasema waambie jamaa wa upande wa pili waje kuzika. Hawapo hapa hata mmoja.
marehemu alikuwa katibu wa vijana wa ccm wa kata ya ndago
wabunge takribani 7 hadi 8 hivi wa CCM walikuwepo.
CDM haijatuma mwakilishi kama CCM wanavyofanya kwenye misiba ya CDM, kwa mfano wa Regia Mtema, Wangwe na Bob Makani.
Source: Mimi mwenyewe.
Viroba vimemtokea puani ataenda kujibu kwa mola kwa nn anazuia wanyonge kudai haki zao
Tumuachieni Mungu ataamua maana mwisho wa ubaya ni AIBU
RIP yohana mpinga, najua haikuwa matakwa yako kuanzisha fujo zilizo gharimu maishaa yako, ni mapenzi ya mwigulu kutumia njaa kali ya wananchi kuwanunua walete fujo. damu yako itamlilia milele
CDM haijatuma mwakilishi kama CCM wanavyofanya kwenye misiba ya CDM, kwa mfano wa Regia Mtema, Wangwe na Bob Makani.
Source: Mimi mwenyewe.
Mungu aiweke roho ya marehemu jehenamu na motoni Amen. hii ndio raha ya kutumiwa kama kondomu. pumbavu zake.