Mazishi ya marehemu Yohana Mpinga aliyekufa Ndago - Singida yafanyika

Wanajamvi naomba tujadili bila ushabiki swala la mauaji ya kijana wa CCM jimbo la IRAMBA.
Kwanza najiuliza haya
1.Baada ya polisi kupewa taarifa juu ya fujo ambazo zingetokea katika mkutano kwanini hawakuchukua hatua za kuimarisha ulinzi katika mkutano huo?
2.Kwa sababu mkutano ulikuwa na kibali ni dhahiri kwamba polisi walikuwa na jukumu la kutoa ulinzi.Na kama fujo zilitokea wakati polisi wapo ni dhahiri kwamba nina mashaka na uwezo wa jeshi letu la polisi juu ya uwezo wa kutuliza fujo au vurugu
3.Taarifa zinaonyesha kwamba kijana aliefariki dunia hakufia katika eneo la mkutano na haikuwa wakati wa mkutano.Upi ni uhakika juu ya kifo cha kijana huyu? Askari polisi waliokuwa katika eneo la mkutano wanatakiwa nao wawe mashahidi namba moja kueleza kilichotokea.
4.Kama CHADEMA ndio wauaji,mbona maeneo yote waliyopita hakukutokea mauaji? Kwanini IRAMBA na sio MTWARA na LINDI?
5.Kama ni kweli kwamba vijana walirusha mawe kwa sababu eti viongozi wa CHADEMA walimkashifu mbunge wao,mbona LUSINDE nae alitukana viongozi wa CHADEMA kule Arumeru,je wanachadema nao walitakiwa kurusha mawe? polisi walitakiwa kuwakamata vijana wote waliorusha mawe na kuleta vurugu katika mkutano ule kwani ndio waliokuwa walinzi wa amani katika mkutano ule.Kama hawakufanya hivyo kuna walakini kati ya jeshi la [polisi na kutokea kwa vurugu zile tena kwa makusudi.
6.MY TAKE:-NINAOMBA UCHUNGUZI WA KINA UFANYIKE JUU YA MAUAJI HAYA NA KUANGALIA NI KWA KIASI GANI VIONGOZI WA CCM NA CHADEMA WANAHUSIKA NA MAUAJI HAYA NA MAJIBU YAWEKWE HADHARANI.MWISHO NAMUOMBEA MAREHEMU ALAZWE MAHALA PEMA PEPONI.
 
Mie sihitaji hata kujichosha kufikiria hilo suala.Hiyo taarifa ya kifo iliripotiwa saa ngapi?maana baada ya hizo fujo mkutano uliendelea kwa amani.Kama polisi walifika baadae ina maana wangekuwa wameishalifahamu hilo na ninavyojua huo mkutano ungevunjika tu.
Lakini pia kuna jambo nalifikiria,mikutano yote ambayo imeleta maafa ya CDM,chanzo ni CCM.Mbona mikutano ya CCM haitokei vijana wa CDM kwenda kufanya fujo?
Na ikumbukwe inajribu kutengenezwa kuwa vijana hao walikasirika baada ya CDM kuanza kuwaponda kina CHEMBA.Aliyeanzisha vurugu ni CCM.Lakini pia najiuliza hilo eneo lilipata wapi mawe ya haraka kiasi hicho na watu kuanza kushambuliana mapema hivyo?Nahitaji huo mkanda wa video ili niweze kuongea mengine.
 
Pengine kijana wa watu ni CDM, ila kwa vile kafa basi CCM wameamua kulichukulia kama kete ya kisiasa nafikiri pia (kijana huenda kauliwa na hao hao CCM).
 
Mungu aiweke roho ya marehemu jehenamu na motoni Amen. hii ndio raha ya kutumiwa kama kondomu. pumbavu zake.
 
Cha kujiuliza ni Polisi waliokuwa wanalinda mkutano wamechukuliwa hatua gani?
 
Kama polisi wataendelea kutumika kuhujumu CDM tutashuhudia vifo vingi 2015
Wanachosahau CCM ni kuwa uungwaji mkono kwenye kundi la vijana kwa sasa ni chini ya 35%. Sasa vurugu wanazochochea sijui watazihimili vipi kwa wazee waliobaki nao.
 
Wanajamvi naomba tujadili bila ushabiki swala la mauaji ya kijana wa CCM jimbo la IRAMBA.
Kwanza najiuliza haya
1.Baada ya polisi kupewa taarifa juu ya fujo ambazo zingetokea katika mkutano kwanini hawakuchukua hatua za kuimarisha ulinzi katika mkutano huo?
2.Kwa sababu mkutano ulikuwa na kibali ni dhahiri kwamba polisi walikuwa na jukumu la kutoa ulinzi.Na kama fujo zilitokea wakati polisi wapo ni dhahiri kwamba nina mashaka na uwezo wa jeshi letu la polisi juu ya uwezo wa kutuliza fujo au vurugu
3.Taarifa zinaonyesha kwamba kijana aliefariki dunia hakufia katika eneo la mkutano na haikuwa wakati wa mkutano.Upi ni uhakika juu ya kifo cha kijana huyu? Askari polisi waliokuwa katika eneo la mkutano wanatakiwa nao wawe mashahidi namba moja kueleza kilichotokea.
4.Kama CHADEMA ndio wauaji,mbona maeneo yote waliyopita hakukutokea mauaji? Kwanini IRAMBA na sio MTWARA na LINDI?
5.Kama ni kweli kwamba vijana walirusha mawe kwa sababu eti viongozi wa CHADEMA walimkashifu mbunge wao,mbona LUSINDE nae alitukana viongozi wa CHADEMA kule Arumeru,je wanachadema nao walitakiwa kurusha mawe? polisi walitakiwa kuwakamata vijana wote waliorusha mawe na kuleta vurugu katika mkutano ule kwani ndio waliokuwa walinzi wa amani katika mkutano ule.Kama hawakufanya hivyo kuna walakini kati ya jeshi la [polisi na kutokea kwa vurugu zile tena kwa makusudi.
6.MY TAKE:-NINAOMBA UCHUNGUZI WA KINA UFANYIKE JUU YA MAUAJI HAYA NA KUANGALIA NI KWA KIASI GANI VIONGOZI WA CCM NA CHADEMA WANAHUSIKA NA MAUAJI HAYA NA MAJIBU YAWEKWE HADHARANI.MWISHO NAMUOMBEA MAREHEMU ALAZWE MAHALA PEMA PEPONI.
Hakuna haja ya kuunda tume kwani waliokuwepo eneo la tukio wanaeleza kuwa kuna picha za video zilikuwa zinachukuliwa. Naona huo utakuwa ushahidi mzuri zaidi kwani hata polisisiemu nao huwa ni vituko tu hawana msaada wowte zaidi ya kutunga uongo tu.
 
Naamini jeshi la polisi litawakamata woote waliopanga na kutekeleza mauaji ya kinyama.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom