Mazishi ya Maalim Seif nilisikia mambo 3 muhimu Ibada, Madeni na Msamaha, Wakristo wanajikita kwenye Wasifu na Mashada

Kuna watu wanadai ukifa na lako limeisha?? Kuna haja ya kutoa elimu KWA wenzetu hawa. Huenda tunawalaumu bure na kuwasimanga chini KWA chini ila kiukweli kuna vitu vingi mno hawavijui
Kwani hawasomagi zile thread za Rakimu na kuzifanyia kazi
 
That is simplistic collectivization in a world that needs specificity and nuance.

Wasio waislamu ni wengi. Hata mimi si Muislamu.

Kama John kamshambulia, sema John kamshambulia. Usiseme wasio Waislamu wamemshambulia. Na mimi sijamshambulia Maalim.

Ukisema wasio Waislamu wamemshambulia, unatulundika wengine tusio Waislamu ambao hatujamshambulia.

Tumia mantiki kidogo tu ku make sense usisababishe rabsha zisizo na sababu.

Mimi nikisema Waislamu ni magaidi kwa sababu kuna Waislamu magaidi utaona sawa?
kama hukumshambulia hauhusiki katika maoni yangu hapa.
 
Kufa ni moyo na ubongo kuachq kufqnya kazi zake za kusukumq damu na kufahamu.

Hujajibu kama mtu anaweza kuendelea kuelewa yanayotokea baada ya kufa.
Kama hivyo ndio kufa kwanini sasa watu wanafikiria kwamba lazima watakufa?kwamba mioyo yao itaacha kusukuma damu na bongo zao zitaacha kufahamu.
 
Nje ya mada kidogo, kati ya Waislamu na Wakristo wepi huyoa viongozi wazuri na watenda haki?
 
Back
Top Bottom