Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislamu wengi ni masikinipitia makabrasha yako vizuriWewe sema maisha yamekuchapa, kwani lazima kufunga harusi kubwa mbona wengi tu wanaenda kanisani mtu na mtuwe wanamaliza kingine, nikusaidie tu hii amsha amsha ya harusi inafanya watu tufanye kazi na kusaka pesa sana na ndivyo inavyotakiwa ili pale unapoona aibu mbona mwenzangu kafanya kubwa na wewe inakupa mori ya kusaka zaidi, jaribu kuchunguza waislam wengi ni masikini coz wamejizoesha wenyewe kutokutaka vikubwa na imepelekea hata kimaendeleo wapo nyuma sana kama hujui nakupa hilo
Nataka nikwambie ukweli, leo uamini ndugu yangu, wanayofanya waisilamu yameamrishwa na Mwenyezi Mungu na wanayofanya hao wengine wamejiamulia wenyewe.
Kuna vitu vingi sana mfano ndoa, mnaambiwa kama ikifikia kuachana muachane Kwa wema, nakushauri mtafute Muisilamu aliye karibu yako atakufundisha mambo mengi sana
Hapa watu wanashindwa kukubali tu kuwa uislam ndo dini bora,
Hamjachelewa, jiungeni na uislam
Waislamu wengi ni maskini?Ohhhh...aise kama ulikuwa hujui waislamu ndo waloshika uchumi wa nchi mkuu.Angalia kuanzia matajiri wakubwa wa nchi hii hadi hawa wa chini kuanzia vyombo vya usafiri kama mabasi ya mkoa,daladala na malori wao ndo wanamiliki kwa kiasi kikubwa.Wewe sema maisha yamekuchapa, kwani lazima kufunga harusi kubwa mbona wengi tu wanaenda kanisani mtu na mtuwe wanamaliza kingine, nikusaidie tu hii amsha amsha ya harusi inafanya watu tufanye kazi na kusaka pesa sana na ndivyo inavyotakiwa ili pale unapoona aibu mbona mwenzangu kafanya kubwa na wewe inakupa mori ya kusaka zaidi, jaribu kuchunguza waislam wengi ni masikini coz wamejizoesha wenyewe kutokutaka vikubwa na imepelekea hata kimaendeleo wapo nyuma sana kama hujui nakupa hilo
Mzee, unacheza na maneno tu. Huelewi na huelewekiUnajua kusoma kwa ufahamu?
Nimekuuliza, uthibitisho ni nini na unapatikanaje?
Unajibu:
"Kwa sababu uelewi hata unachouliza Wala kujibu".
Umeelewa au umelewa?
Nawezaje kuelewa na kueleweka ikiwa wewe hutaki hata tukubaliane kuhusu definitions za maneno muhimu katika mjadala wetu?Mzee, unacheza na maneno tu. Huelewi na hueleweki
Kifo hakina tarehe maalum utajadili vipi wakati hujui utakufa lini. Hilo halipiti kichwani kwako kweli?Mi nilijua umeongea kitu cha maana kumbe hilo tu??! Bila shaka wewe ni kilaza deni lijadiliwe ili iweje?? Mnashindwa kudaiana wakati wazima???! Hueleweki wewe
Wewe unahesabia mmojammoja tembea uone kati ya muislam na mkristo nani ni matajiri wengi tembea mikoani uone hata dar tu sio eti unataja hao waarabu wahamiaji na wanaorithishana tembea uone wewe kuna watz waafrica hawajitangazi ni pesa kama zote sio hao waarabu wakoWaislamu wengi ni maskini?Ohhhh...aise kama ulikuwa hujui waislamu ndo waloshika uchumi wa nchi mkuu.Angalia kuanzia matajiri wakubwa wa nchi hii hadi hawa wa chini kuanzia vyombo vya usafiri kama mabasi ya mkoa,daladala na malori wao ndo wanamiliki kwa kiasi kikubwa.
Watu wa pwani wengi ni waislam wao ni vingomaa midundiko urojoo tu nenda maofisin kaangalie majina ya maprofesa na wakurugenzi kibao ni din gani??!kazi kwakoWaislamu wengi ni maskini?Ohhhh...aise kama ulikuwa hujui waislamu ndo waloshika uchumi wa nchi mkuu.Angalia kuanzia matajiri wakubwa wa nchi hii hadi hawa wa chini kuanzia vyombo vya usafiri kama mabasi ya mkoa,daladala na malori wao ndo wanamiliki kwa kiasi kikubwa.
Tembea uone nakupa hiyo kama hujui mfano nenda mkoa huu iringa au hata dar uswahilin wengi ni muslims masikin wengi nenda mbez au masaki au tabata kuanzia kinyerezi au kimanga kwenda kule kinyerez ni wakristo wengi na mijumba kama yote ila magomen au temeke ni uswazi maisha mabovu wengiWaislamu wengi ni masikinipitia makabrasha yako vizuri
wewe unajua nini ?Uthibitisho ni nini na unapatikanaje?
Wewe una uthibitisho marehemu anajua?
Wewe unajuaje kuwa hajui?ushawahi kupitia hiyo hali au umewezaje kujua?Mtu akishafariki habari yake imeisha.
Hata mkimtupa aliwe na ndege yeye hajui. Ingawa hilo litakuwa si utu.
Maziko ni kwa waliobaki.
Inawezekana ikawa labda sababu waislamu ni wengi na ndio maana unaona waislamu wengi ni masikini hasa ukizingatia siku zote matajiri huwa ni wachache.Tembea uone nakupa hiyo kama hujui mfano nenda mkoa huu iringa au hata dar uswahilin wengi ni muslims masikin wengi nenda mbez au masaki au tabata kuanzia kinyerezi au kimanga kwenda kule kinyerez ni wakristo wengi na mijumba kama yote ila magomen au temeke ni uswazi maisha mabovu wengi
waislam wa mwendokasi (wa mjini) kama sisi tu...ful mbwembweWaislamu hata harusi zao nazikubali. Hawana gharama za ajabu
Kwani wewe unayojua yote ushawahi kuyapitia?Wewe unajuaje kuwa hajui?ushawahi kupitia hiyo hali au umewezaje kujua?