Ustaarabu wa mazishi ulianza tangu enzi za mitume, walihifadhi miili ya wapendwa kwenye mapango ya mawe kistaarabu!
Utaratibu huo wa mitume umerithiwa huko Vatican, makao makuu ya kanisa katoliki, Ambapo Viongozi kama papa na makasisi wakubwa wa kikatoliki huhifadhiwa kistaarabu namna hiyo hadi leo!
Ukitembelea kanisa kuu mjini ROMA! Kuna makaburi yaliyojengwa (pre-casted) kwa ngazi kama mapango ya ngorofa kusubili maziko; kwa ajili ya kuhifadhi makasisi wenye vyeo vikubwa kwa wakatoliki mjini humo!
Utaratibu wa mazishi Ulianza kutofautiana kutoka imani moja kwenda nyingine baada ya mitume na manabii kuondoka!
Mfano ;
Wapo wanaochoma mwili wa marehemu ili wahifadhi majivu nyumbani kama vile album ya ukunbusho (Wahindu)!
Wapo wanaotelekeza mwili wa marehemu uliwe na ndege kama ishara ya utakaso! (Baadhi ya kabila za China na wafilipino)
Wapo wanaozika kaburini kwa kufukia na rundo la kifusi cha mchanga! (Wakristu na waislam hususani Afrika na sehemu ya ulaya)
Wapo wanaotelekeza mwili wa marehemu kwenye nyumba ya msonge pembezoni mwa shamba hadi atakapooza! (Enzi za nyuma za Wamasai, wairaq na wamang'ati Mbulu) N.k
Kila Imani Inashangaa sana imani ya mwingine anavyozika kikatili!
Swali ni Je, imani gani inayozika kistaarabu?
Utaratibu huo wa mitume umerithiwa huko Vatican, makao makuu ya kanisa katoliki, Ambapo Viongozi kama papa na makasisi wakubwa wa kikatoliki huhifadhiwa kistaarabu namna hiyo hadi leo!
Ukitembelea kanisa kuu mjini ROMA! Kuna makaburi yaliyojengwa (pre-casted) kwa ngazi kama mapango ya ngorofa kusubili maziko; kwa ajili ya kuhifadhi makasisi wenye vyeo vikubwa kwa wakatoliki mjini humo!
Utaratibu wa mazishi Ulianza kutofautiana kutoka imani moja kwenda nyingine baada ya mitume na manabii kuondoka!
Mfano ;
Wapo wanaochoma mwili wa marehemu ili wahifadhi majivu nyumbani kama vile album ya ukunbusho (Wahindu)!
Wapo wanaotelekeza mwili wa marehemu uliwe na ndege kama ishara ya utakaso! (Baadhi ya kabila za China na wafilipino)
Wapo wanaozika kaburini kwa kufukia na rundo la kifusi cha mchanga! (Wakristu na waislam hususani Afrika na sehemu ya ulaya)
Wapo wanaotelekeza mwili wa marehemu kwenye nyumba ya msonge pembezoni mwa shamba hadi atakapooza! (Enzi za nyuma za Wamasai, wairaq na wamang'ati Mbulu) N.k
Kila Imani Inashangaa sana imani ya mwingine anavyozika kikatili!
Swali ni Je, imani gani inayozika kistaarabu?